Wadau nauliza utaratibu wa HESLB 2020/2021 juu ya wanafunzi wa POSTGRADUATE kunako upewaji wa Mkopo, JE nawao wanaunganishwa kwenye hizi BATCH 2 zilizotangazwa?
Jamani msaada
Nimechaguliwa second round mzumbe LLB lakini sikuomba second round sijui nifanyaje coz first round nilikuwa nmeshachaguliwa chuo kimoja tu MUM sasa mzumbe jana tena nakuta wamenichagua halafu ata sio kwenye matipo selection nisaidie jaman nifanyaje
Jaman msaada nimechaguliwa mzumbe laws second round ilihali sikuomba second round, kwakua first round nilichaguliwa chuo kmoja tu Mum, sasa sijui nifanyaje jaman
Mkuu mie nmechaguliwa mzumbe round ya pili LAWS but sikuomba round ya pili coz nilikuwa nmechaguliwa round ya kwanza sasa cjui nifanyeje, kama unaujuz na hili nijuze
Habari wana JF, nauliza ni vipi unaweza hama chuo ambacho umechaguliwa lakini hujaridhika nacho kwenda chuo kingine?
Naomba kusaidiwa muongozo wa kuhama chuo kwa mwaka huu 2017/2018
31000 watakosa mkopo ili hali wamelipia Tsh 30000 kila mmoja jumlisha kutuma EMS walio wengi wametuma kwa Tsh 13100 ukijumlisha ni sawa na Tsh 133,610,0000.
LAkini licha ya kukusanya pesa yote hiyo na ukichanganya bajeti yao ya mwaka bado utasikia hata hao 30000 ambao inasemekana ndio watakao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.