Recent content by Kabelwa

  1. Kabelwa

    JamiiForums Tanzania Tuzingatie kitu gani tunapokwenda kununua simu ili tupate simu bora?

    je 350,000 naweza kupata simu aina ya Nokia na je zinafaa
  2. Kabelwa

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada natumia VPN lakini (X) twitter haifunguki

    habari ndugu mbona huu mtandao wa x twitter kwangu haufunguki na ninatumia vpn kama proton na 1.1.1.1 wrap lakini wapi,msaada tafadhari
  3. Kabelwa

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada natumia VPN lakini (X) twitter haifunguki

    habari ndugu mbona huu mtandao wa x twitter kwangu haufunguki na ninatumia vpn kama proton na 1.1.1.1 wrap lakini wapi,msaada tafadhari
  4. Kabelwa

    JamiiForums Tanzania Msaada nokia c31

    sawa msaada mkuu
  5. Kabelwa

    JamiiForums Tanzania Msaada nokia c31

    wakuu nina hii simu Nokia c31 niliiweka bila kuitumia muda kidogo sasa nimesahau password naomba msaada wenu mwenye kufahamu njia ya kufanya,ahsante.
  6. Kabelwa

    JamiiForums Tanzania TAARIFA: Uzinduzi wa JamiiAfrica pamoja na Mpango Mkakati wake

    wadau naomba kuuliza ni lini hii app ya jamii forum itabadilishwa jina na kuwa jamii africa!
  7. Kabelwa

    JamiiForums Tanzania security Plug simu za mkopo

    sawa nitaendelea kulipia mkuu mpaka itoke
  8. Kabelwa

    JamiiForums Tanzania security Plug simu za mkopo

    wadau naomba mwenye kufahamu jinsi ya kuitoa hii security plug maana nimemaliza huo mkopo msaada tafadhari
  9. Kabelwa

    JamiiForums Tanzania Msaada: App ya kupakua video

    sawa mkuu
  10. Kabelwa

    JamiiForums Tanzania Msaada: App ya kupakua video

    Habari wanajamii, naomba kufahamu ni app ipi unaweza kudownload videos na zikahifadhiwa moja kwa moja kwenye sd card.
  11. Kabelwa

    JamiiForums Tanzania Simu za mkopo

    wote mmekimbilia kujibu bila kuelewa maelezo yangu
  12. Kabelwa

    JamiiForums Tanzania Simu za mkopo

    mfano itel A50
  13. Kabelwa

    JamiiForums Tanzania Simu za mkopo

    Habari ndugu ninaomba kuuliza kama kuna uwezekana wa kufungua sehemu ya laini mama kwenye hizi simu za mkopo ili hiyo sehemu ambayo huwa ni laini namba 1 iweze kutumika kwa laini yoyote kama umeshamaliza deni! ahsante.
  14. Kabelwa

    JamiiForums Tanzania Msaada VPN

    Habari wanajamii naombeni mwenye kufahamu jina la vpn nzuri ambayo ni free maana napata taabu sana kule mtandao X(Twitter) kwenye mijadala pale space,ahsante.
Back
Top Bottom