Kuingia katika mfumo mpya kabla ya kujiondoa kwenye mfumo wa awali si haki na sawa. Kama tuko serious na issues vema kuuvunja kwanza huu muungano wa awali halafu ipite kura ya maoni kwetu wananchi kupata ridhaa ya huo muundo wa serikali tatu kabla ya kuja na hiyo rasimu inayojadiliwa. Hapa...
Nadhani alifanya vema kujiweka wazi kwa kile alichokiamini na ambacho ni sahihi kwa demokrasia ya kweli hata kama ataonekana kwa sura ya usaliti kwa upande wa pili. Ni shujaa mwenye mtazamo thabiti ambao matokeo ya maono kama haya huonekana baadaye sana kwa watu wanaohukumu harakaharaka tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.