Unaweza kupta,bila kushikwa mkono ila ni wachache sana,hao wengi ni wa magumashi nakwakuwa ni dili hata,awe mshkaji wako hakuambii ukweli hata kidogo cc tunamshkaji tuikuwa nae IFM kapata kazi tupo third year 2011 kwenye hizo sekta hata transcript alikuwa hana na mpka leo yupo anapiga kaz...
Tatzo.watz ni wanafiki mtu akitekeleza majukum.yke eti hana good governance mlitaka,afanyeje hawa wanaiopinga huu utendaji ni wale waliokuwa,wakifaid keki ya,taifa peke yao sasa vitumbua vnaingia mchanga wamezoea kuchezea kodi za wananchi kwa kubadili magari yakifahari kila mwezi sasa mirija...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.