Recent content by JVA

  1. J

    Askofu Ngonyani: Hakuna mahali popote katika Historia panapoonesha kuliwahi kuwepo Nchi /Taifa ya Palestine na ikavamiwa!

    [emoji120][emoji120][emoji120]angalau tupate Mwanga. Ila hao wanaotukama watu kwa dini zao tunawaombewma pia. Nachoamini katika maisha yangu Mungu yupo sijui atamtumia nani lakini yupo.
  2. J

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Nilikuwa nampongeza brayanca sorry
  3. J

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hongera sana sana. Mungu akutangulie kwenye majukumu Yako.
  4. J

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mkuu naomba unipe hiyo post Yako wewe uendelee kusubiria kwenye chai ya maziwa. Samahani lakini. Wengine Tunatamani hata kusiko na chai. Daaah.
  5. J

    Waliofanya interview za CDOs lini majibu?

    Mkataba na IT umekwisha tayari. Tuendelee kuomba kazi CDOs jamani. Japo inauma lakini ndio hatma imeamua.
  6. J

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Eti wanatangaza Tena lini kazi za CDOs? Mtu akiona Tangazo naomba Ani pm.maana nadhani Leo CDOs tumemelizana na IT kwa nafasi zilizotangazwa 800
  7. J

    Waliofanya interview za CDOs lini majibu?

    Tuendelee kuwa na subira.. Kuna gap filling pia ambao hawataripoti. Mungu akasimame nasi tu.
  8. J

    Weka Profile yako hapa, muajiri akiiona akufuate PM

    Looking for a job. Sex: female Education: bachalor of arts in Sociology Work experience: 2 years Location: Nzega-Tabora
  9. J

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Tupo wengi, tuendelee kuwa na Imani. Mungu atatutendea na sisi.
  10. J

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hongera sana. Kila la kheri kwenye utumishi wako.
  11. J

    Waliofanya interview za CDOs lini majibu?

    Naona wameitwa ustawi wa jamii. Nikajiuliza ndio wamechukua kwenye Hawa hawa.tuofanya za CDOs au Kuna interview nyingine walifanya?
  12. J

    Waliofanya interview za CDOs lini majibu?

    Mie Bado, Tunaendelea kusubiri.
Back
Top Bottom