🙆🏻♂️🙆🏻♂️🙆🏻♂️hili tango pori mzee unatulisha haipo hata kidogo jaribu kuuliza vizuri kwanza kabisa hiyo Embassy yenyewe ukienda km unataka Temporary Travel Document unalipa Rand 1000 ambayo ni sawa na Tzs 151,000 wakati ile Wilayani inatoka kwa Tzs 30,000 kwahiyo hilo swala la kusema...
Naomba tuwakane sawa ndugu zangu hawa vijana waliorudishwa wamepewa case inayoitwa "IMMIGRATION CASE" ambayo inawahusu wale wote ambao wanaishi bila vibali maalum vya South Africa ambao wanawaita "ILLEGAL IMMIGRANTS" sasa unakuta mtu kaingia S.A na passport na kama inavyojulikana Watanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.