Recent content by Justus_August

  1. Justus_August

    Ukiona penye Upenyo: Usipaachie kama Unapamudu

    Ninahifadhi uliyoibua kama na hoja na maswali! Nikiweka mwendelezo wa pili nitaomba upate nafasi ya kuupitia kwa kiasi fulani nitakuwa nimejibu baadhi ya hoja ila pia nitakuwa tayari kuyasemea yale ambayo yatakuwa nje ya nilichokwisha andika. Nimefurahi kusoma kutoka kwako
  2. Justus_August

    Ukiona penye Upenyo: Usipaachie kama Unapamudu

    Ahahahha! Hii ni mbinu ya kuwashirkisha mbinu zangu.
  3. Justus_August

    Ukiona penye Upenyo: Usipaachie kama Unapamudu

    SEHEMU YA KWANZA: July 2017 nilihudhuria kikao cha chama cha mchezo wa kuogelea Tz (TSA) kilichofanyika kwenye ukumbi wa Paparazi pale Hotel Sleep Way ~ Masaki. Kwa wakati ule nilikuwa ni muogeleaji mzoefu na part-time nilikuwa nikifundisha watu kuogelea but zaidi kwa wakati ule nilikuwa...
  4. Justus_August

    Kidato cha Sita: Ni sawa umehitimu lakini zingatia yafuatayo

    Shukurani Chief. Nasi tulipata wa kutuongoza hivyo ninwajibu wetu kurudisha kwa jamii.
  5. Justus_August

    Kidato cha Sita: Ni sawa umehitimu lakini zingatia yafuatayo

    Pongezi kwa wote ambao mmefanikiwa kuhitimu elimu ya sekondari kwa mwaka huu. Safari inaendelea na huko mbeleni yapo ya kila aina ila wewe unaweza kubaki wa aina hiyohoyo au aina mpya kikubwa ni kwamba maisha hayajasimama. Kama ndivyo basi nawe usisimame au usikubali kwenda na wanaorudi. Kesho...
  6. Justus_August

    Subiri au Tafuta ukiwa Umejiandaa

    Katika kuwinda fursa za ajira na nafasi mbalimbali za kazi, yapo mengi utayasikia zikiwemo ahadi za hapa na pale nyingine zikiwa za ukweli na nyingine zikiwa zile zenye kufunza kukupima uwezo wa kuhimili yasiyohimilika. Katika baadhi ya mazingira utajikuta unalazimika kufanya ambacho hukusomea...
  7. Justus_August

    Watanzania tulioko Dubai tufahamiane na pengine tupange kuonana

    Nakuelewa sana. Unafahamu kuwa ni vigumu kufikiria nje ya kile unachokisikia mara kwa mara eeeh? Asante kwa kuliibua hili ili watu waanze kusikia stories tofauti nao fikra zao zianze kujongea penye uwezekano[emoji1666]
  8. Justus_August

    Watanzania tulioko Dubai tufahamiane na pengine tupange kuonana

    Subiri nitakuja kuiandikia tread yake na nitashare uzoefu
  9. Justus_August

    Watanzania tulioko Dubai tufahamiane na pengine tupange kuonana

    Mwezi wa saba nitakuwa Tz hadi mwishoni mwa August. Nalikimbia joto 50°c We'll keep in touch
  10. Justus_August

    Watanzania tulioko Dubai tufahamiane na pengine tupange kuonana

    [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
  11. Justus_August

    Watanzania tulioko Dubai tufahamiane na pengine tupange kuonana

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  12. Justus_August

    Watanzania tulioko Dubai tufahamiane na pengine tupange kuonana

    Link me up na hilo group Chief! Nipo kwenye different groups za Expatriates ila siyo la Tz Diaspora kwa upande wa uarabuni
  13. Justus_August

    Watanzania tulioko Dubai tufahamiane na pengine tupange kuonana

    Ujumbe mzuri sana na wa Muhimu kuzingatiwa. Vijana wasijekupuuza hiyo last part
Back
Top Bottom