Recent content by JUSTIN THOMAS

  1. J

    Hili La Dr. Kafumu mbunge wa Igunga linanitatiza!

    tume huru ya uchaguzi ndio tunayoihitaji ili tuwaondoe hawa ccm kwa sababu kimsingi mtu kama dk kafumu hawezi kuibuka mshindi halafu akaenda kutoa shukran huko alipozaliwa halafu wapiga kura wako wakarusha mawe kwenye msafara wako!!!karushiwa mawe kijijini kwake alipo zaliwa na ndio maana...
  2. J

    Prof. Safari awajibu wanazuoni wa kiislamu kuhusu DC

    kila sehemu majinga majinga kama kibonde yapo tu!!watake wasitake mabadiliko yanakuja
  3. J

    Igunga: Kigogo wa CCM afumaniwa na mke wa mtu

    mwenye mke anaitwa Rajabu,na anaesadikika mwizi ni muweka hazina wa chama cha magamba,jina la mwanamke ni Fatma,majina ya uhakika ndo hayo mdau
  4. J

    CCM maji shingoni Igunga

    kaka unahitaji maombi wewe!!!usiongee kitu usichokijua,mimi ni mkazi wa igunga hapa,na bahati nzuri nimeudhuria mikutano yote kaka,mikutano ya chadema hakuna mtu aliyeletwa kwenye fuso wala tololi,watu wote walikuja kwa miguu yao wenye,na baadhi yao walifunga mpaka maduka yao na kwenda...
  5. J

    CCM maji shingoni Igunga

    sio maji shingoni!!!ccm maji kwenye kidevu yani wamekaribia kuyameza!!!jamani mimi ni mkazi wa huku igunga ccm hali ni mbayaaaaa!!!!!!yani wapo ICU,tunataka tukitoe chama cha magamba sio Tanzania tu, yani kisionekane tena duniani!!!kife mbali kwa jina la Yesu na la chadema,Igunga twasema kula...
  6. J

    CTV - CHADEMA TV: Karibuni hewani

    mtu kama huyu anahitaji maombi tena ya nguvu!!!na ashindwe na alegee kwa jina la chadema,pumbafu sana watu tulijua majingamajinga bado yapo kijijini kumbe hata town yapo
  7. J

    Mdahalo: Ndugai vs Lissu - Jumamosi Julai 30

    Ndugai hawezi kuja,anahoja gani ya kutuambia!!!!!!!!!!!?we unadhani anapenda kuaibika
  8. J

    Kuzirai kwa baadhi ya wananchi wa Igunga kutokana na kujiuzulu kwa Rostam!!

    kujivua gamba pekeyake haitoshi!!ilibidi rostam akamatwe na afilisiwe ili iwe fundisho kwa wengine,coz wakimuacha ivivi itakuwa kama mchezo watu watakua wanaiba mali ya umma then wanajivua gamba,jamani huyu rostam kahujumu uchumi wetu anapaswa kuadhibiwa
  9. J

    Kuzirai kwa baadhi ya wananchi wa Igunga kutokana na kujiuzulu kwa Rostam!!

    Nikweli watu walizimia na kulia kama wafiwa wala si uongo hata kidogo coz niliwaona kwa macho yangu,ila watu wote waliokua wanalia ni wale wazee na wakina mama ombaomba wa ccm ambao walikua wanamtegemea fisadi papa Rostam katika maisha yao kila siku,kwasababu jamaa rostam alikua mpaka ana...
Back
Top Bottom