Recent content by justin mollel

  1. J

    Roho ya kukataliwa: Chanzo/asili na madhila yake

    Ni kweli chumvi inatibu hata maji yenye mapooza nimesahau tuu kifungu,lkn ni kati nabii Eliya au Elisha waliyatibu maji kwa chumvi.
  2. J

    Mwanamuziki Nguza Viking 'Babu Seya' na wanae wafika Ikulu kutoa shukurani kwa Rais Magufuli

    Hivi ni kweli walibaka na kulawiti au ni zile kesi za kupambikizana tuu, km kuna mwenye ushaidi autoe.
  3. J

    Natafuta dawa ya kienyeji inayoweza kutibu cancer.

    Kule moshi kilimanjaro kuna mtu amaitwa Kokoto ametibu mamia km si maelfu ya wagonjwa na wamepona, nina ndugu na jamaa wamepona kwa dawa zake.
  4. J

    Tanzania among top 10 Places to Invest in Africa 2018

    Yes mr. Bams Ni kweli haitaji mtu wa digrii mbili kujua kuwa kiuchumi tuko vibaya. Tunako elekea sijui, ni kweli awamu zilizopita kuna mambo waliyakoroga, ila kuyarekebisha pia hayaitaji nguvu nyingi, yanahitaji utulivu, hekima na busara, watu wote tushiriki kuyatatua, tusibaguane.
  5. J

    Lissu: Si mara ya kwanza tunaahidiwa kuwekewa mikataba wazi. Kumuunga mkono Rais si lazima

    Yanayohojiwa na Lissu ndio iliyo mipango ya sasa ya Mheshimiwa wetu, Namshauri tuu avute subra tuone muda utatuambia, makofi na vigelegele siku zote hupingwa mwisho wa ngoma, sina tabia ya kumshabikia mwanasiasa lakini huyu anaongea toka moyoni, hawa wengine walioko madarakani hawana msimamo...
  6. J

    Ugumu wa Maisha: Nchi inanyooshwa au kukosekana kwa ubunifu(creativity)?

    Tatizo ni ile fursa ya kila kiongozi kuja na mambo yake, kuwe na sera ya nchi ambayo hata akija nani hataibadili badili.
  7. J

    Nina mimba ya msafisha kucha... Mmh!

    Huyu ni mwongo, kuoa siku hizi ni mpaka muonjane, hiyo sababu uliotoa ni ya uongo, kuwa mumeo hakufikishi kileleni, ulikubali ya nn kuolewa naye, wee sema tuu, ni mwingi wa habari hutosheki. Kinachokufaa kwa kweli ni talaka, asubuhi hii uanaanza hivyo, je akichoka kweli.
  8. J

    Wanawake wenzangu kujeni tutete kidogo!

    Huyu sichelei kumwita wife material, wanawake wengi ni wapingaji kwanza, then ukikomaa na wazo lako likazaa matunda, anakuambia hivi kumbe wazo lako ni zuri, mwingine anapotezea tu kwa aibu.
  9. J

    Rais Magufuli atangaza kiama kwa mitandao ya simu

    Mwenye akili nzuri hawezi kamwe kuishangilia hiyo kauli, mwisho wa jambo mwenye kuumia ni mlaji.
  10. J

    Kwenye kumfikisha mwanamke kileleni, wanaume wengi tunafeli

    Ni kweli ukitaka kumfikisha mwanamke kileleni, anahitaji kuandaliwa vema, papara haitajiki.
  11. J

    Wanaume tuamke

    Huyu ni kati ya mama adimu sana, ktk maisha yangu ndoa nimekutana na mmoja tu. Chema huzaa chemam
  12. J

    Kwanini Wanaume nao wasiwe 'wanafundwa' kabla ya kufunga ndoa?

    Mmomonyoko wa maadili unachangia ndoa nyingi kuvunjika, kilichobakia kwa kiasi kidogo ni mafunzo ya dini za wahusika.
Back
Top Bottom