Yes mr. Bams
Ni kweli haitaji mtu wa digrii mbili kujua kuwa kiuchumi tuko vibaya. Tunako elekea sijui, ni kweli awamu zilizopita kuna mambo waliyakoroga, ila kuyarekebisha pia hayaitaji nguvu nyingi, yanahitaji utulivu, hekima na busara, watu wote tushiriki kuyatatua, tusibaguane.
Yanayohojiwa na Lissu ndio iliyo mipango ya sasa ya Mheshimiwa wetu, Namshauri tuu avute subra tuone muda utatuambia, makofi na vigelegele siku zote hupingwa mwisho wa ngoma, sina tabia ya kumshabikia mwanasiasa lakini huyu anaongea toka moyoni, hawa wengine walioko madarakani hawana msimamo...
Huyu ni mwongo, kuoa siku hizi ni mpaka muonjane, hiyo sababu uliotoa ni ya uongo, kuwa mumeo hakufikishi kileleni, ulikubali ya nn kuolewa naye, wee sema tuu, ni mwingi wa habari hutosheki. Kinachokufaa kwa kweli ni talaka, asubuhi hii uanaanza hivyo, je akichoka kweli.
Huyu sichelei kumwita wife material, wanawake wengi ni wapingaji kwanza, then ukikomaa na wazo lako likazaa matunda, anakuambia hivi kumbe wazo lako ni zuri, mwingine anapotezea tu kwa aibu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.