Recent content by justhussayn

  1. justhussayn

    SI KWELI Ujumbe huu ni wa onyo la kufungia akaunti kutokea Kampuni ya Meta

    Hata mimi wamenitumia huo ujumbe, nikashangaa sana wakati ni muda kidogo sijatumia FB wala Insta.
  2. justhussayn

    Napendekeza cheti cha NECTA kipatikane mtandandaoni ili kuepusha usumbufu

    Moja ya mambo yanayosumbua ni mtu kufatilia upatikanaji wa cheti chake, either cha form four au cha form six. Sasa kuna watu wamesoma mkoa wa tofauti na makazi yao. Mfano, mtu amesoma Dar lakini ni mkazi wa Njombe. Badala ya kumpa usumbufu mtu huyo kutoka nNjombe kwenda Dar akafate cheti, heri...
Back
Top Bottom