Eti mtu akikupenda na wewe ukimpenda si MNAPENDANA?
Na akikuheshimu na wewe ukimheshimu si "MNAHESHIMIANA"?
Na kama akikusaidia na wewe ukimsaidia si MNASAIDIANA? Na
akikupiga na wewe ukampiga si "MNAPIGANA"? Sasa je,
Akikutii na wewe ukimtii jibu lake itakuwaje?
Nimeenda ktk mkoa fulani na kukutana na kali ya mwaka baada ya kumsalimia mtu aliyenizidi umri "shikamoo" naye kanijibu shikamoo na mimi kuduwaa kwa kushindwa nijibu nini...! Je, kuna mikoa au jamii ambayo hawajui au kutotumia kabisa hii salamu?
Siku moja kulikuwa na mkutano wa kijiji, mwenyekiti (jina limehifaziwa) alipata dharula kidogo akawa amechelewa kufika wakati wananchi wanamsubibi akahutubie yaliyojiri kama kiongozi! Kutokana na kuchelewa huko akiwa nyumbani kwake akijiandaa, alichukua leso yake ktk kamba wanayotundika nguo na...
Nimewakilisha matukio ya jamii ktk maisha ya kila siku kwenye mahusiano ya mapenzi pia ni mambo ambayo yapo, pengine wapo waliopata maumivu zaidi ya hayo niloyasema. (viwango nilivyoweka si rasmi)
Mizunguko ya town tax-tsh. 45,000/-
Vinywaji-48,000/-
Dinner-25,000/-
Mchemsho wa bata-12,000/-
Vocha-10,000/-
Shoping ya-190,000/-
Umelipia LODGE-35,000/-
Anakuangalia usoni anakwambia nipo kwenye.....Je, kama ni wewe utamfanyeje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.