Recent content by JUNIOR KIKOLO

  1. J

    Kamati Kuu ya CCM kukutana Julai 04, 2015 saa nne asubuhi, Dodoma

    Wamekwisha hao, hakuna wa kumzuia sasa Lowassa, kazi iliimalizia Morogoro
  2. J

    Kwa mbinu hizi, Lowassa ni mafuriko yasiyozuilika kwa mikono!

    Rais hachaguliwi na ng'ombe, uchaguliwa na watu. Lowassa ana watu ndio maana yupo hapo na kasindikizwa na watu wanaoingia kwenye vikao vya maamuzi. Mtaji wa ushindi ni watu na Edward anakubalika na watu na ambaye hautaki basi kale malimau.
  3. J

    Maelezo ya Bernard K. Membe, Kuhusu Fedha za Deni la Libya

    Alichukua hizo pesa na aache kujishaua na kujihami. Amezisambaza dolla hadi kwenye daladala na muongo mkubwa huyo
  4. J

    Kwanini Timu Lowassa wana wasiwasi na maamuzi ya Kamati Kuu?

    Ng'wamapalala Ndio matatizo ya wasiojiamini. Umeleta hii hoja kusudi uhurumiwe? Lowassa na timu yake hawana wasiwasi wowote na kazi yao nzuri wanaimalizia tarehe 12/07/15, acha kuogopa kivuli chako
  5. J

    WikiLeaks: Lowassa's corrupt activities have been an open secret throughout Tanzania for many years

    Edward Lowassa alitimiza dhana ya uwajibikaji kisiasa na hakuwa na kosa lolote na hadi sasa hana kosa lolote. Mwakyembe, Sitta na kundi lao walipika ili kumharibia tu ndio maana sasa hivi wanataka kujikosha kwa kutumia mwamvuli wa bunge lkn Mungu mkubwa Lowassa wananchi wamemsimamia na kuona ule...
  6. J

    WikiLeaks: Lowassa's corrupt activities have been an open secret throughout Tanzania for many years

    Utakatifu gani unaouamini wewe? au ndio kukopi semi na kuzileta humu. Kama ni utakatifu je, waliopo sasa watakatifu? acheni upuuzi wenu, Lowassa amewapiga bao ndio maana mnaanghaika tu na vimaneno vya kukopi.
  7. J

    WikiLeaks: Lowassa's corrupt activities have been an open secret throughout Tanzania for many years

    Naamini wote mmechelewa na hii debate haina mashiko tena. Lowassa ndio jembe la kukivusha chama na na kuitoa nchi kwenye lindi la umasikini totoroooo, na kama mmelilijua hili basi anzisheni bunge lenu tuwasikilize kuliko kukopi upuuzi huo. Hivi nyie kati yenu nani msafi? Naomba asimame na aseme...
  8. J

    Rais Kikwete aanza kuaga mikoani, Jumatano ataanza Arusha

    Anapeleka kijiti kwa mrithi wake Rais wa tano
  9. J

    Mbatia: CHADEMA wakivimba kichwa kuwa UKAWA ni CHADEMA watatandikwa vibaya na CCM

    Wanawadanganya wanachama wao, hawana lolote.
  10. J

    Mbatia: CHADEMA wakivimba kichwa kuwa UKAWA ni CHADEMA watatandikwa vibaya na CCM

    Kwani UKAWA ipo? Katiba imekwisha na wana UKAWA nini tena? Kamwe hao hawawezi kuungano hata ufanyeje, ubinafsi wa madaraka umewajaa watakuja kuiondoa CCM lini?
  11. J

    Mzee Kingunge Ngombale Mwiru aomba radhi kwa kauli yake aliyotoa kuhusu Lowassa

    Acheni siasa, kwani kingunge yuko pekee aliye nadi mgombea? Sir G. kahama je? Hajaomba radhi
  12. J

    Lowassa atua Mwanza kusaka wadhamini, umati wampokea

    Mpoteza muda kuongea yasiyowezekana, mwanaume anachanja mbuga na tarehe 12/07/2015 wanafiki mtalala na drip ya maji.
  13. J

    Mchumba wa Dr. Slaa(Josephine Mushumbusi), ahojiwa Polisi kwa saa mbili

    Ubinafsi uko wapi wakati anautaka urais, ndio ukweli na uwazi
  14. J

    Nguvu na ushawishi wa Lowassa waongezeka maradufu

    Mbona waliokwapua pesa za Tageta ESCROW pale stanbic hamsemi au zile sio pesa ni makaratasi? Ni vigumu kuzuia vita vya bunduki kwa jiwe, Lowassa ndiye kiboko yao na urais ataukwaa tu.
Back
Top Bottom