Recent content by Juniha

  1. Juniha

    Hostel! Hostel! Hostel!

    Wale wadau wa DIT,CBE Dar campus,IFM,Tumaini Dar campus na TEKU Dar campus, Hostel nzuri na ya kisasa ipo maeneo ya Lumumba, special kwa wanaume pekee, maji na umeme wa uhakika, ulinzi wa kuaminika, vipo vyumba vya watu wanne, watu sita na Watu nane, kodi kwa mwezi ni elfu hamsini tu. Karibuni...
  2. Juniha

    kuna ugumu sana kwa anaesoma accounting??

    Mtoa mada ulimaliza na GPA ya ngapi?
  3. Juniha

    Uzi maalum kwa ajili ya wanaotafuta na wanaopangisha nyumba

    Ninacho chumba kijitonyama karibu na shule ya msingi kijitonyama, kipo vizuri, kodi kwa mwezi ni elfu hamsini, unaweza kulipia kwa miezi sita au mwaka mmoja ukiweza, hakuna dalali. Nipigie 0714264484
  4. Juniha

    Mashine ya kukamua juisi ya miwa inauzwa

    Wasalaam, mashine ya kukamua juisi ya miwa kwa kutumia umeme, inauzwa sh. Laki saba tu, ipo Sinza palestina. imetumika miezi miwili tu, kwa mawasiliano zaidi piga 0714264484.
  5. Juniha

    Nahitaji mkopo wa milioni tano

    Salaam, nimepata shida ghafla, naomba kwa yeyote anayeweza kunikopesha shilingi milioni tano kwa riba nafuu ndani ya miezi mitatu, dhamana hati ya nyumba. Nyumba ipo Sumbawanga mjini
  6. Juniha

    Frame ya biashara inapangishwa

    Biashara nyingi zinakubali kwa sababu frame ipo kwenye barabara ya lami (pamechangamka sana), unaweza weka tigopesa/ mitungi ya gas/ saloon/ duka la nguo, saluni na kadhalika,, je, wewe ni dalali au unataka kupanga?
  7. Juniha

    Frame ya biashara inapangishwa

    Frame ya kisasa inapangishwa, ipo kijitonyama ,barabara ya kajenge karibu na sayansi, kodi ni laki moja na nusu kwa mwezi (150,000/= × 6 ), Kwa maelezo zaidi piga namba 0714264484
  8. Juniha

    Uzi maalum kwa ajili ya wanaotafuta na wanaopangisha nyumba

    Napangisha Chumba na sebule, kijitonyama karibu na kituo cha sayansi choo cha nje kinatumika na wapangaji wawili, ipo ndani ya ukuta, luku mnashea wawili, chini kuna tiles/marumaru na imepakwa rangi mwezi uliopita, kuna parking ya nje na mbele ya nyumba kuna barabara ya lami, hakuna dalali...
  9. Juniha

    Uzi maalum kwa ajili ya wanaotafuta na wanaopangisha nyumba

    Okay, hiki ninacho ni chumba kimoja tu chief,
  10. Juniha

    Uzi maalum kwa ajili ya wanaotafuta na wanaopangisha nyumba

    Kuna chumba na sebule napangisha kijitonyama, karibu na shule ya msingi kijitonyama. 150k
Back
Top Bottom