Mungu awatie nguvu kwani najua ipo siku utafika hapo unapotaka kufika kazi shida kupata mikopo nayo shida ni bora kazi ikawa ngumu lakini watanzania wakapata elimu nzuri na kwa wakati sahihi ili kuweza kukomboa nch katika nyanja mbalimbali cjapenda loan board walichowafanyia watanzania wenzangu...
Kaka kwanza poleni sana kwani maisha ya chuo c mchezo kwa sisi tuliyipita miaka hiyo kidogo,mimi nilishangaa sana vigezo ambavyo vilitumika kwani wengi waliyopata baadhi yao hawakustahili na waliyonyimwa kwa vigezo kiufalme jua ndiyo hasa baadhi ambao ni wengi walistahili kupata,kweli nchi hii...
Polisi mnawaonea bure kwani jukumu la kulinda raia wamekabidhiwa wao kisheria wanachofanya ni kwa mujibu wa sheria mama,lazima wafuate amri ya viongozi wao kwani bila hvyo ingekuwa tabu zaidi kwani kila askari atafanya mambo yake tu bila kufuata taratibu za kazi!ebu tukae na kutafakari kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.