NAHITAJI KUNUNUA NTA MKOA WA TABORA,
MWENYE UWEZO WAKUNIUZIA KUANZIA KG 20 NA KUENDELEA, AWASILIANE NAMI
MWENYE BEI NZURI ATAKUA NA UHAKIKA WA SOKO LA KUDUMU.
Hellow, habari yako, Mimi ni Mjasiriamali Mgunduzi.niatumia wax kama raw material kufanya kazi yangu.tafadhali nahitaji nkujua upatikanaji wa Nta na wingi wake,pia nahitaji nkufahamu kuhusu bei ya ujumla hapo na ikiwa utasafirisha kwenda mikoa ya pembezoni mfano Mwanza.mawasiliano yangu...
Nafikiri tusichukue afya ya mh lowasa kama sababu ya kukosa sifa ya kuongoza nchi, kwakua binafsi naamini kuwa serikali itakayoundwa mwaka huu itakuwa ni team, pia lowasa ni mtu wa principles na safari za mara kwa mara nje ya nchi hazita kuwepo maana taifa linakuwa restored. atakuwa karibu na...
Sasa jama naomba kujulishwa vyema, Hii ya kulala 77,800 nimeambiwa ni vyumba. na kila chumba kina vitanda 6. Je! kila kitanda ni 77,800???? au chumba ndo bei hiyo? maana kuna u lakshari gani kama ndani ya chumba kimoja mabei ya ajabu na ni changanyikeni?? wawe wazi kwakweli. kama kila kitanda ni...
Bali nakushauri unapotaja wachaga zingatia maeneo na aina ya wachaga. HAWA victim ni WAROMBO.unaposema wachaga wote unakosea. Mchaga WA uru marangu,au kilema umeskia nini kutokakwao
cc. Asprin
napenda kujua kutoka KWA serikali na pia wenzangu humu ndani, nakubali kuwa ilianzishwa programme ya kufundisha vijana Ujasiriamali na kutakiwa kuunda vikundi ili tukopesheke. swali langu NI je? tupo wengine ambao hatujafundishwa Ila NI wabunifu WA mambo makubwa yanayohitaji ubia na viwanda nje...
NI kweli Ila kwakua haina kiporo, namshauri Dada a withdraw na aendelee na mambo yake. kija na ana nguvu na viungo vyote anaacha kutafuta kazi zenye staha, ona sasa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.