Naomba ushauri na kueleweshwa kutoka kwenu wana-JamiiForums wenye uzoefu au uelewa wa masuala ya umeme ukinunua nguzo (TANESCO).
Ninaishi Katoro eneo ambalo naishi kwa muda mrefu halikuwa na umeme. Mwaka huu mradi wa umeme umefika, nguzo zimepandishwa na nyaya za msongo wa chini zimepitishwa...
Ndugu na mdau wa jukwaa hili ninatumia nafasi hii kuwasilisha wazo langu la biashara kwa mwaka huu wa 2026, nikiwa na matumaini ya kupata mrejesho, ushauri wa moja kwa moja, na hasa mawasiliano ya wadau wanaohusika na uuzaji wa mashine za kuoka na kukanda unga.
Nina mpango wa kuanzisha biashara...
Na: Jumanne Mwita
Leo tarehe 12/11/2025 nimesimamishwa kazi.
Sio kwa sababu nilichelewa kazini, wala kwa kosa la kitaaluma — bali kwa sababu nilichapisha au nili "screenshot" chapisho la mtu mwingine lenye mtazamo wa kisiasa. Chapisho hilo halikuwa la matusi, halikuhusiana na kazi yangu...
Itakuwa kila sehemu kuna pikipiki pendwa hapa nilipo hizo unazosema hazina soko na hawazileti wafanya biashara, wanaleta kitu kinachoenda kwenye mzunguko wao hizonunazosema Dar es Salaam zinabei kama ulivyosema siyo maeneo yote
Wakuu,
Naomba mnisaidie au mawazo yenu pia, nilikuwa na lengo la kwa muda sasa la kununua pikipiki aina ya Sanlg kwa sababu ya shughuli zangu na sababu za kupoint SANLG ni kampuni inayotoa Product nzuri kwa pikipiki zenye hekaheka kubebea mizigo n.k ni vumilivu sana. Nilipanga nichukue mwezi wa...
Nimeona ujumbe wako kuhusu kutengeneza platform, website au app, na nimevutiwa na ujuzi wako.
Nahitaji mtu atakayetengeneza blogu ya habari pamoja na platform ya matangazo ya ajira.
Kama upo tayari, tafadhali wasiliana nami muda wowote ili tujadiliane kuhusu mahitaji na hatua za kazi.
Kwa mfano imetokea wewe kijana umefungwa kwa kumtia mimba mwanafunzi. Miaka 30 baadaye, ukarejea na kukutana na ukweli mchungu ambao hukutarajia.
📜
Kwa mfano, wewe ni kijana wa kiume na katika harakati za hapa na pale katika ujana wako, ukajikuta unamtia mimba mwanafunzi wa shule. Kwa kosa...
Hapana ndugu! Unajua kuna bei mbili, kiwandani na wauzaji wa rejareja, maana naambiwa hizi zinauzwa bei kubwa sana huku mkoani milioni nasehemu au kasoro ndio maana nikataka nijue pia!
Hapana nimeuliza tu si-kwa ubaya unaweza kuta hiyo ni bei ya kiwandani siyo dukani, nikaondoka na point ya bei hiyo kumbe si sawa kwa rejareja. Ndio maana nikauliza hivyo. Samahani
Habari wana JF,
Naomba msaada kwa yeyote aliye wahi kununua au anayefahamu bei za tanks za Kiboko (Polytank) za kuhifadhia maji – hasa zile za ujazo wa 2000 L liters au zaidi.
Nimepitia kurasa zao za Instagram na Facebook (@kibokoplasticstz) lakini hawajaweka bei, na hata namba zao za simu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.