Recent content by Jumanne Mwita

  1. Jumanne Mwita

    Kumekuwepo na promotion inayoitwa UNICEF FOUNDATION hawa siyo wezi mtandao kweli?

    Kiaje? Au kuleta mada ndio kujivua nguo? Maana content ili ikamilike lazima iwe imelingana na kile unachokisemea sasa ningeweka hapa taarifa ambayo haina uhalisia au uthibitisho mimi ndio ningeonekana sina maana na content yangu au wewe ulitaka nifanyeje au niibiwe kwanza ndio nije huku?
  2. Jumanne Mwita

    Kumekuwepo na promotion inayoitwa UNICEF FOUNDATION hawa siyo wezi mtandao kweli?

    Uko sahihi kuna kipindi na mimi walinifanyizia wakashindwa TWO FACTOR AUTHENTICATION Sahihi Tena wale ni wabishi alafu wajuaji sana huwezi mwambia kitu kwenye mambo ya network
  3. Jumanne Mwita

    Kumekuwepo na promotion inayoitwa UNICEF FOUNDATION hawa siyo wezi mtandao kweli?

    Uko sahihi kuna kipindi na mimi walinifanyizia wakashindwa TWO FACTOR AUTHENTICATION Sahihi mkuu
  4. Jumanne Mwita

    Kumekuwepo na promotion inayoitwa UNICEF FOUNDATION hawa siyo wezi mtandao kweli?

    Uko sahihi kuna kipindi na mimi walinifanyizia wakashindwa TWO FACTOR AUTHENTICATION iliniokoa sana
  5. Jumanne Mwita

    Kumekuwepo na promotion inayoitwa UNICEF FOUNDATION hawa siyo wezi mtandao kweli?

    Acha waliwe wagumu sana kuelewa haya mambo
  6. Jumanne Mwita

    Kumekuwepo na promotion inayoitwa UNICEF FOUNDATION hawa siyo wezi mtandao kweli?

    Nimecheka aisee! eti "mbona watu wanasema mnatapeli"? nayeye kasema ni 'kweli kaka' 🤣🤣🙌🙌
  7. Jumanne Mwita

    Kumekuwepo na promotion inayoitwa UNICEF FOUNDATION hawa siyo wezi mtandao kweli?

    Kazi kweli kweli, naonaga uko kwenye page za watu unakuta amepostiwa utupu wa ngono sasa najiuliza anavuliaje hii kitu kwenye ukurasa wake nakosa jibu
  8. Jumanne Mwita

    Kumekuwepo na promotion inayoitwa UNICEF FOUNDATION hawa siyo wezi mtandao kweli?

    Yaani kabisa unaambiwa utume ada ili upate msaada haiingii akilini kabisa hii kitu 🤣🤣🙌🙌
  9. Jumanne Mwita

    Kumekuwepo na promotion inayoitwa UNICEF FOUNDATION hawa siyo wezi mtandao kweli?

    Kama ni matapeli basi wamewapata wabongo ambao wanapenda kitonga
  10. Jumanne Mwita

    Kumekuwepo na promotion inayoitwa UNICEF FOUNDATION hawa siyo wezi mtandao kweli?

    Na wabongo wengi sana nimewaona wamepigwa
  11. Jumanne Mwita

    Kumekuwepo na promotion inayoitwa UNICEF FOUNDATION hawa siyo wezi mtandao kweli?

    Wanawapata wengi sana kwa style hii hasa wabongo wengi tamaa mbele
Back
Top Bottom