Kiaje? Au kuleta mada ndio kujivua nguo? Maana content ili ikamilike lazima iwe imelingana na kile unachokisemea sasa ningeweka hapa taarifa ambayo haina uhalisia au uthibitisho mimi ndio ningeonekana sina maana na content yangu au wewe ulitaka nifanyeje au niibiwe kwanza ndio nije huku?
Uko sahihi kuna kipindi na mimi walinifanyizia wakashindwa TWO FACTOR AUTHENTICATION
Sahihi
Tena wale ni wabishi alafu wajuaji sana huwezi mwambia kitu kwenye mambo ya network
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.