Recent content by Juma wa Juma

  1. J

    DAWASA Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na ushauri

    Kwa makadirio au matarajio mradi unaweza kuchukua muda gani
  2. J

    DAWASA Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na ushauri

    Tunaomba mtusambazie na kutuunganishia maji Pugu shule ya msingi
  3. J

    Mwenyekiti BAWACHA Segerea Agnesta Lambert: Naomba radhi usumbufu mlioupata viongozi wa chama na watanzania wote

    Mi naomba kuuliza tu....Amesema watu wamekwamnia Account yako imekuwa hacked.... yani badala ya ww kujua imekuwa hacked hao waliojua wamejuaje kwani naamini hata wewe unaakili timamu unaweza kupost ule ujumbe....Ila ok mi nashukuru kwa kuukana siasa za kipuuzi hizi zakuwalisha watu maneno na ku...
  4. J

    Meya Jacob: Nimetoa taarifa Polisi juu ya watu waolivalia sare za JWTZ na walichokifanya nyumbani kwangu

    Sehemu 3 na maelezo ya mwisho kuhusu majirani mbona vinapishana
  5. J

    Waziri wa Fedha na Mipango akutana na Mkurugenzi Mtendaji mbadala wa Benki ya dunia, Kanda ya Afrika

    Mi naomba niwaambie kwani wanaposema tunajenga kwa hela zetu wenyewe si wanamaanisha sio za msaada mana hata kama watakopa watazirudisha na hapo tutakuwa tumetumia chetu na sio za wahisani
  6. J

    Hisia na hamasa za Maandamano nchini: Mapokeo, Mitazamo na Uhalisia (Viongozi na Wananchi)

    Tumuombe yeye asie muoga ahe Tanzania tuandamane nae tena yeye awe mstari wa mbele kwa kukaa mbele
  7. J

    DAWASA Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na ushauri

    Sisi wakazi wa Pugu tunashida kubwa ya maji hamja sambaza mabomba na wala hna dalili hizo je mnatuambiaje juu ya hili
  8. J

    Picha: Diwani wa Tarime aliyehamia CCM apelekwa Afrika Kusini chini ya ulinzi wa Green Guard kwa mapumziko

    Halafu unajitukana mwenyewe ujue hebu tuulizane lowasa,sumaye,Ester Bulaya,Lembeli n.k walikitumikia lini chadema mpaka wengne mkawaweka kwenye kamati kuu
  9. J

    Benki Kuu (BoT) yazifutia leseni benki kadhaa. Zimo Efatha Bank na Covenant Bank

    Kwanza hebu tuweke wazi ni yamefilisika au yamefilisiwa
  10. J

    Mhadhiri Chuo Kikuu Dodoma ataka Yericko Nyerere apewe PhD mbili kupitia kitabu chake cha Ujasusi

    ..Kijana shupavu mwenye mawazo au fikra jenga nchi au tuseme kizazi cha baadae kaja na wazo kama hili..mi naomba Yericko utambue sie ambao hatupo kwenye siasa moja kwa moja mnatukatisha tamaa kwa fikra mbovu kama hzi kuwa upande fulani sio njia ya kukalia ovu lililo upande huo,mathali Bashe na...
  11. J

    Naomba ushauri

    Mimi ni kijana huwa napenda sana kunywa juice ya miwa karibu kila siku na huwa nakunywa Lita 1...Je kuna madhara kunywa kila siku juice hii???
  12. J

    Nyalandu amekubaliana na uamuzi wa CHADEMA wa kususia uchaguzi?

    Kutokana na taarifa ya hivi karibuni ya UKAWA(CHADEMA) kuwa hawatashiriki uchaguzi mdogo wa majimbo na kata. Je, ni kipimo cha ukomavu wa CHADEMA au wamekosa njia au fikra mbadala kupambana CCM na hali ya siasa ya sasa nchini na je vipi kwa Nyalandu aloacha kila kitu na kuleta nguvu upinzani...
Back
Top Bottom