Mimi nashindwa kuelewa kama mtu una phy E,chem D,biology D,english D,geog D,civics D,kiswahil D,history E,math F, Hapo inakuaje? manake kunachuo nimetuma maombi wameniambia physics kupata E ni fail sasa aliye pata F inakuaje? jamani?
Ndugu yangu kwa nchini kwetu hapa TANZANIA hakuna chuo chochote kinachotoa degree ya medical laboratory technology kwa kuwa hakuna vifaa vya kufundishia degree vyuo vyote vikubwa vya afya nchini kama MUHAS na BUGANDO wanaishia diploma tu. nawasiwasi na elimu yako na ndomana hutaki kuomba...
Nenda kam college of health sciences chuo kipo dar ni kizuri kimesajiriwa na NACTE na wizara ya afya pia intake wanaanza masomo mwezi wa 6 mwaka huu wanafundisha medical laboratory na clinical officer.nakushauri uende kam ww jidanganye cjui muhimbili,Bugando huwezi kwenda hapo utaganga mtaani...
Mvumi mission hospital ni hospitali ya taifa ktk specialization ya upasuaji wa macho kuna wataalam waliobobea katika fani hii pia hospital ya mvumi ina colleges tatu midwife & nursing,COTC ,na medical laboratory assistant ada kwa diploma ya CO sijajua itakuwa bei gan bt nahic itakuwa kuanzia 2.5...
Mvumi & kolandoto vyote hivi vina usajili wa kudumu xo we jipange andaa ada then ukapige pindi mm nimehitimu 2013 nataka nikachukue certificate ya maabara nina D sita kat ya hizo ya engl ipo kemia na bioz xo kama vp tutakutana mvumi paleee COTC wewe chukua clinical officer (uganga) then mm...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.