Recent content by juma nyamhanga

  1. juma nyamhanga

    Mke wangu nimfanye kitu gani? Anatembea na mfanyakazi mwenzie

    Pole sana; punguza jaziba ili siku moja ufanye saplyis ya hizo sms zao, tumia namba ya laini ngeni kwao wambie hiyo ni hatari mnaichezea kati ya wewe na mwenzio huyo mchepuko wako maana mahara husika taarifa zilisha fika napicha za makutano yenu ziko ndani ya kamera. Usiombe yakukute
  2. juma nyamhanga

    Mke wangu kajifungua, ni zawadi gani itamfaa kama shukurani?

    Zawadi yake si yakuwaza sana, zawadi hiyo ni kama ifatavyo kubadilisha jina lake la awali na kumuita mama fulani nifaraja maana mengine ni vidokezo tu.
  3. juma nyamhanga

    Plot4Sale Nauza eneo lenye ukubwa wa heka nne

    Liko Ruvu-darajani lifaa kwa ujenzi wa shule au kuchimba mabwawa ya samaki
  4. juma nyamhanga

    Hivi kinachofanya mke wa mtu kuwa mtamu sana ni nini? Nimekumbuka utamu wa Mke wa Balozi

    Wizi huo nikama wizi mwingine maana ukicheka Sanaaa kinachofata ni kulia, usipende kutangulia kucheka madhara yake ni makibwa baadae
  5. juma nyamhanga

    Hizi ni Sababu kwanini Scotland Yard na FBI hawana uwezo wa kuchunguza Kushambuliwa Tundu Lissu

    Kazi ya vyombo sheria tupunguze maneno maana sio msaada
  6. juma nyamhanga

    Mtihani mkubwa kwa Rais Magufuli ni huu hapa

    Hongera sana mawazo hayo niwachache watakayo elewa pia kuwa mvumilivu kwamawazo ya watu.
  7. juma nyamhanga

    Nairobi Hospital: Hatujapokea fedha zozote kutoka Bunge la Tanzania

    Sitasemea roho ya mtu ukweli utabaki kuwa hivyo hivyo maana sipendi kumsea mtu uongo nikiwa sijathibitisha.....;
Back
Top Bottom