Ukubwa eka 10 hazijapimwa zina karatasi za mauziano ya serikali ya mtaa. Umbali kutoka barabara kubwa ya Bagamoyo Road kwenda kwenye eneo ni kilometa 2. 5. Huduma ya umeme na maji zote zipo jirani. Bei tshs million 350 maongezi yapo.
Kwa maelezo zaidi na mawasiliano piga no hii : 0759 510 593
Ukubwa wa kiwanja SQM 400 kina hati miliki halafu kipo pazuri sana sehemu imetulia. Umbali kutoka barabara kubwa ya kawawa road mita 150. Panafaa kwa kujenga lodge au apartments. Bei tshs 180 mil.
Kwa maelezo zaidi na mawasiliano piga no hii : 0759 510 593
01. Ukubwa sqm 900 ina hati miliki. Bei tshs 45 mil.
02. Ukubwa sqm 1200 ina hati miliki. Bei tshs 65 mil.
03. Ukubwa sqm 2000 ina hati miliki. Bei tshs 100 mil.
Kwa maelezo zaidi au kwenda kuona
Tuwasiliane kwa namba hii 0759 510 593
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.