Recent content by Juma kasim

  1. J

    Naomba kufahamu zilipo ofisi hizi

    Tukipata namba zao ndo ingekuwa bora zaidi sababu kwa njia tovuti inakuwa ngumu wakuu..
  2. J

    Naomba kufahamu zilipo ofisi hizi

    Namba zao tunazipataje
  3. J

    Mawakala wa kutafutia kazi watu nje ya nchi wa serikali na binafsi, fikirieni pia kutafutia watu kazi za msimu vijijini Ulaya, Marekani na Canada

    Vipi hali zenu wakuu nilikuwa naomba msaada wa mawakala wa kazi katika nchi za Ulaya au nchi za kiarabu ila sanasana nchi za ulaya
  4. J

    Je, Tanzania kuna agent wa kazi nje ya nchi?

    Natafuta kazi nchi za nje iwe Ulaya au uarabuni sawa lakini pia kama ntaweza kuwapata wale wakala ntashukuru Kama kuna mtu anayeweza kunisaidia nisaidie..
Back
Top Bottom