Recent content by Juma Chipangula

  1. J

    Msaada: Hivi vidonge sio ARV?

    Sivijui, ila hivyo co vidonge vya ARV vidonge vya ARV mfano wake viko km panadol
  2. J

    Wanaume tuoneeni huruma dada/mama zenu

    Nakupa Pole sana Dada, lkn na mimi nimeachiwa mtoto na mama yake wakati ana mwaka mmoja. Leo mtoto anakimbilia kutiza miaka saba hajui mwanae yukoje, anaishije, kwa hiyo hii tabia co kwa wababa/na wakaka hapana mpaka wanawake wapo wenye tabia hiyo. Kwa hiyo tumuombe M/Mungu atuondoshe na hali...
Back
Top Bottom