Recent content by Julius Mruta Jr.

  1. J

    Ufafanuzi kuhusu itikadi ya Ujamaa wa Kidemokrasia kwa mujibu wa ACT-Wazalendo

    Prof. Kutokana na ufafanuzi wa hizo Nguzo Tano za ACT, Ninaona mnaangukia kwenye " Social-Market Economy". Maana serikali inageuka kuwa Referee au lubricant Kati ya Mabanyeye na makapuku?
  2. J

    NYARAKA: Katiba Inayopendekezwa Oktoba, 2014 (Tanzania's Proposed Constitution)

    Kuainisha haki za makundi mbalimbali haitoshi, kuweka mfumo bora wa kikatiba wa kutekeleza haki hizo hiki ndicho kimekosekana katika katiba pendekezwa.
  3. J

    HESLB itaanza kutoa hela baada ya sikukuu ya EID EL FITR

    Kwa sasa taasisi imara za kutetea maslahi ya wanafunzi vyuoni hazipo bali kuna vibaraka wa watawala wa vyuo ili siku zi songe. Hii ni kutokana na kuingiliwa kwa taasisi hizo na vyama vya Siasa, serikali na management za vyuo zikizani kufanya hivyo ndio siluhu ya migomo vyuoni.
  4. J

    CCM na ACT- Tanzania wafanya tafrija ya pamoja Kigoma

    Ushahidi wa gazeti hakika wa tosha.
  5. J

    Live Updates: Mdahalo wa katiba ITV leo

    Wasira alizidiwa kiac akaanza kuwa mbabe.
  6. J

    Wassira akacha mdahalo ulioandaliwa na ITV

    Anachokisimamia anakua fika si sahihi ndio maana anakacha.
Back
Top Bottom