Recent content by Julius M. Akyoo

  1. J

    Miliki Blog kwa Tsh 5,000/=

    Please show the sample. WhatsApp 0673269641
  2. J

    Mitsubishi canter inauzwa

    Mamba ya usajili: T972AVZ. Engine model:4D34. Ukubwa/uwezo wa engine:cc3900, Turbo. Chasis/body: Pana na refu. Study: 6. Liko: Arusha. Bei: Maelewano. Mawasiliano:0754269641 au e-mail: nanyukiinvestments@yahoo.com
  3. J

    Nataka kufungua kampuni ya familia ambayo itakuwa na biashara tofauti ndani yake, naomba ushauri

    Nyongeza ya ushauri ila siyo wa mwisho: Hakikisha kwenye memorandum unaorodhesha kazi zote ambazo unahisi kampuni itaweza kuzifanya hata kwa miaka ya baadaye sana. Hakikisha kuna wakurugenzi/wanahisa wa kampuni wasiopungua 2 wenye umri usiopungua miaka 18.
  4. J

    Mitsubishi canter inauzwa

    Nauza gari aina ya Mitsubishi canter Engine: 4D34 Ukubwa wa engine:cc3900, turbo. Bodi/chasis: Refu na pana. Studi 6. Iko katika hali nzuri na inafanya kazi. Ipo Arusha. Bei: Maelewano. Mawasiliano: 0754269641
  5. J

    Natafuta steshenari ya kununua

    Wewe uko mkoa gani? Tuwasiliane: nanyukiinvestments@yahoo.com
  6. J

    Rais Magufuli: Kwa mara ya kwanza Serikali itakusanya takribani trilioni 1.3 kwa mwezi

    Kabla ya JPM iliyokuwa inakusanywa shs ngapi kwa mwezi?
  7. J

    Natafuta steshenari ya kununua

    Unataka mkoa na eneo gani? Ukubwa gani?
  8. J

    Zitto Kabwe anatumia muda mwingi kuijenga CCM kuliko hata kukijenga chama chake

    Atateuliwa kuwa waziri muda wowote na Anna ameandaliwa nafasi kama fadhila.
  9. J

    Mitsubishi canter for sale

    Registration No:T972AVZ Chasis No:FE659C531066 Engine No:4D34G48932 Engine capacity:3900cc Year of manufacture:1998 Heavy duty vehicle (3.5Tons) Wide & long extended chasis Working & good condition Location:Arusha city centre Contacts:0754 269 641 or e-mail nanyukiinvestments@yahoo.com...
  10. J

    Natafuta mganga wa kienyeji Arusha, Kilimanjaro au Tanga

    Pole kwa tatizo lako ndugu. Kama uko Arusha au kama serious kutafuta tiba ya tatizo lolote fika maeneo ya Ngaramtoni shuka kituo kiitwacho njia ya ng'ombe utakuta kibao kilichoandikwa VUKA YORDANI, fuata kinapokuelekeza, ukifika ulizia Mkuu wa hapo. Usiende na pesa yoyote na kama utahitaji kutoa...
  11. J

    Dr. Mpango fungua ukurasa mpya wa hii kodi ya Road License

    Motor vehicle license ikiwekwa kwenye mafuta itapunguza usumbufu kwa walipaji na TRA pia, ila itapunguza mapato ya baadhi ya madalali kama Majembe. TRA ifanye majaribio angalau kwa mwaka 1. Kodi hii ikiwekwa kwenye mafuta itaisaidia serikali kwani kila atakayetumia mafuta mengi atalipa zaidi...
  12. J

    Gari linauzwa

    Gari aina ya Mitsubish canter mayai engine 4D34, cabin kubwa. Bei ni maelewano. Wasiliana nasi kwa simu 0752210479 au barua pepe : nanyukiinvestments@yahoo.com
  13. J

    Mitsubish canter for sale

    Mitsubish canter mayai, engine 4D34, study 6. Bei ni maelewano. Mawasiliano 0754269641 au kwa barua pepe : nanyukiinvestments@yahoo.com
  14. J

    Natafuta wauzaji wa vlainishi (lubricants) kwa jumla

    Kwa yeyote anayehudika au anayefehamu wauzaji naomba anijulishe kwa 0752210479 au barua kws pepe: nanyukiinvestments@yahoo.com
Back
Top Bottom