Recent content by Julius Husseni

  1. Julius Husseni

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wadau; anasameheka mke aliyekuzunguka na kwenye kutoa mimba Yako?!!

    Ukute haikua yako pole mkuu
  2. Julius Husseni

    JamiiForums Tanzania Nina million na laki mbili, wapi napata pikipiki boxa used imara?

    Be positive mkuu
  3. Julius Husseni

    JamiiForums Tanzania Nina million na laki mbili, wapi napata pikipiki boxa used imara?

    Hapana mkoan
  4. Julius Husseni

    JamiiForums Tanzania Nina million na laki mbili, wapi napata pikipiki boxa used imara?

    Kwamba nitakufa nikinunua pikipiki?
  5. Julius Husseni

    JamiiForums Tanzania Nina million na laki mbili, wapi napata pikipiki boxa used imara?

    Rasmi sasa kuna jamaa kanidodosa kua biashara ya boda inalipa kwahiyo nimeona nicheki upepo wa pikipiki boda. Mwenye connection ya boda nzuri kwa hiyo bei gani USINIAAMBIE NIJE PM SIJI Asanteni.
  6. Julius Husseni

    JamiiForums Tanzania Kipi bora kati ya kuchukua Fremu ya elfu 30 eneo ambalo sio changanyikeni au elfu 50 sehemu iliyochangamka?

    Wakuu msaada kwa wale wabobevu wa uchumi kipi sahihi hapo kupangisha sehem frem penye watu sio wengi na bei 30 elf wakati huo huo kwa sh elf 50 eneo populated. Asanteni.
  7. Julius Husseni

    JamiiForums Tanzania Huku mtaani kuuliza tu nachajiwa elfu mbili dah

    "kijana unatakiwa ufuate utaratibu wa mtaa wetu Kikubwa unaulizia ishu za michongo ya pesa lipia elfu mbili" (Nahisi jamaa alikua anapiga fegi) Nilikua nauliza kama naweza pata fremu mtaa fulani hivi, kiukweli bado hakuna madalali ni unaonana tu na mmiliki lakini jamaa hawakupi connection adi...
  8. Julius Husseni

    JamiiForums Tanzania Duka la mangi vs men salon

    Wife atakaa
Back
Top Bottom