Habari wana JF,
Kusema kweli nimepitia changamoto nyingi za kimapenzi, huko nyuma nimesalitiwa sana na wanawake niliowapenda.Lakini sasa binafsi naona umuhimu wa kuoa na kujenga familia,lakini tatizo langu si mwamini mwanamke yoyote.
Tatizo hili linanipa wakati mgumu sana kuweza kuoa coz sasa...
Habari ndugu zangu wa jf,Nina mdogo wangu wa kike anaelimu ya pharmacy ngazi ya cheti,ningempenda msaada wenu ili aweze kupata Kazi katika hospitali au duka la madawa,anapatikana Daressalaam!
Misitafuti Kazi mkuu!,nina Kazi Yangu inanitosha,na unatakiwa ujue sio kila post tunazoweka humu zinatuhusu ssi binafsi,nyingine tunawasaidia marafiki,ndugu,kutatua matatizo yao.usipende kukariri!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.