Recent content by julius caesar

  1. J

    Natafuta kin'gamuzi cha Startimes used nipo Dar

    Natafuta kin'gamuzi cha startimes used,nataka kununua. mwenye nacho ani pm!
  2. J

    Sina imani na wanawake katika mapenzi

    Assnte kwa ushauri mzuri mkuu,nitaufanyia Kazi!
  3. J

    Sina imani na wanawake katika mapenzi

    Hicho chuo Kinapatikanq wapi mkuu?
  4. J

    Sina imani na wanawake katika mapenzi

    Habari wana JF, Kusema kweli nimepitia changamoto nyingi za kimapenzi, huko nyuma nimesalitiwa sana na wanawake niliowapenda.Lakini sasa binafsi naona umuhimu wa kuoa na kujenga familia,lakini tatizo langu si mwamini mwanamke yoyote. Tatizo hili linanipa wakati mgumu sana kuweza kuoa coz sasa...
  5. J

    Msichana anatafuta Kazi ya pharmacy!

    Habari ndugu zangu wa jf,Nina mdogo wangu wa kike anaelimu ya pharmacy ngazi ya cheti,ningempenda msaada wenu ili aweze kupata Kazi katika hospitali au duka la madawa,anapatikana Daressalaam!
  6. J

    Tahadhari: Kuwa makini na wachumba unaowapata mitandaoni

    Mmi sio mbahili,ila siwezi kutoa pesa kwa mwanamke ambaye sijawahi kumwona!
  7. J

    Tahadhari: Kuwa makini na wachumba unaowapata mitandaoni

    Asante mkuu!,nilikuwa najaribu bahati Yangu!
  8. J

    Tahadhari: Kuwa makini na wachumba unaowapata mitandaoni

    Siku hizi matapeli wengi,ndio mana imani imepungua!
  9. J

    Tahadhari: Kuwa makini na wachumba unaowapata mitandaoni

    Tuheshimiane mkuu,mmi siri ugali wa shikamoo,najitegemea naishi kwangu!
  10. J

    Tahadhari: Kuwa makini na wachumba unaowapata mitandaoni

    Usimsikilize mkuu,hakuna ukweli wwote hapo anapotosha uma2!
  11. J

    Tahadhari: Kuwa makini na wachumba unaowapata mitandaoni

    Misitafuti Kazi mkuu!,nina Kazi Yangu inanitosha,na unatakiwa ujue sio kila post tunazoweka humu zinatuhusu ssi binafsi,nyingine tunawasaidia marafiki,ndugu,kutatua matatizo yao.usipende kukariri!
  12. J

    Tahadhari: Kuwa makini na wachumba unaowapata mitandaoni

    Hakuniomba buku 5 mkuu,mbona unasema vitu usivyovijua!
  13. J

    Tahadhari: Kuwa makini na wachumba unaowapata mitandaoni

    Wameshaipata mkuu Kazi kwao sasa!
Back
Top Bottom