Unajua kwa uzoefu wangu ni kuwa kama mtu huwezi tu kufuatilia mafunzo unayoelekwa katika kitabu kutengeneza sabuni hata ukielekezwa kwa vitendo ni kazi bure tu utapoteza pesa yako kwani kila kitu ni saikolojia. Wengi wasioweza huwa visingizio ni vingi.
Mfano mtu anakwambia mimi nimekosa milioni...
Bw. Biashara naomba niongelee kidogo Leo kuhusu jambo dogo ingawa lina mchango mkubwa sana katika kuleta maendeleo ya watz katika kila nyanja ya maisha.
Juzi kati baada ya kuchangia katika post yako kuna kijana aliniandikia meseji alikuwa anaongelea na kuniuliza maswali kadhaa. Nilimuuliza...
za kwenu wana jamvi. Nimedhani itakuwa inahamasisha kama nami nta share experience yangu katika kilimo baada ya kuamua kwa hiari mwenyewe kujihusisha na kilimo ili kujiongezea kipato. Nilmtumia Biashara hiyopesa ya hiyo formula yake na pia nikaenda kwenye lile shamba darasa alilonielekeza pale...
Tuliongea juzi kati ukaniambia utanitumia mafunzo hayo kwa email kwa ambao wako mbali na moro huko. Nimekutumia ile pesa ya mafunzo leo. Ni shilingi 10,000 si ndio?
Asante sana bw Albert kwa ushauri wako nimeweza kushirikiana na halmashauri ya wilaya ya huku songea kutumia shamba langu kuelimisha wanafunzi wa vyuo. Na ntakuwa nalipwa
Nashukuru sana bw Biashara2000 kwa mafunzo uliyonitumia siku ile na kesho yake tu nilipanda zile mbegu. Baanda ya siku tatu miche ikatoka na nikapulizia ile mbolea ya Polyfeed, bwanawee ni noma, maana ndani ya siku tatu tu miche ikafika urefu mpaka magotini. Sasa naanza kuweka zile fito...
Mimi nilishagombana na shangazi yangu hivi hivi kimasihara tu. Yeye ananunua na kuuza huu mkaa wa kawaida sasa siku mi nikaweka kituo changu cha usambazaji karibu na pale yeye anapouzia. Basi watu wakawa haendi pale kwake wanakuja kwangu kutokana na bei niliyoweka. Shangazi yeye alikuwa anauza...
Ni kweli unachoongea. Ni ukweli uliowazi kuwa watz wengi kwa sasa wanakabiliwa na maisha magumu yenye kipato kisichokizi mahitaji yao. We tafuta watu kuanzia tarehe 10 - 23, hakuna mwenye hela.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.