Hivi hili tatizo la umeme mkoani Tabora litaisha lini? Hawatoi taarifa kwa wananchi nini kinachoendelea, wanaukata wanavyotaka na wanaurudisha wanavyotaka, mbaya zaidi ukipiga simu makao makuu Tanesco.
Watoa huduma hawawi wazi, wanajibu tu ooh kuna hitilafu, hatukatai hitilafu kutokea ndo...
Hakuna chuo cha afya ambacho huwez kuvaa sare, hiyo ni sheria ya wizara, umri ni namba kuna watu wana 35 years na bado wanavaa sare kikubwa nia tu. Kama unania na hy kozi kubali sare
Unatakiwa ukaandike barua chuoni kwako ya kurudi na kuomba kuendelea, lakini mpaka mwakani mwezi 4 siumebakiza semester 1?, kuhama itakuwa ngumu labda kama ndo ungekuwa unaingia level 5 semester 1.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.