Wewe utakuwa hauko Kawe, kazi ya Gwajima jimboni inajieleza. Labda ongelea ya 15 ya aliyekuwepo na mahala pake hapatakuwako tena kawe. Kazi kazi gwajima oyeeeeee!
Jimbo la kawe bado tuna matumaini ma Gwajima, kwa muda mfupi wa miaka yake 4 shoo yake si ya kitoto. Maana tulikuwa na miaka 15 ya kupotezewa muda na hayo yote ambayo Gwajima amepambana na kutoboa ni matobo na udhaifu wa aliyekuweko.
Gwajima akipewa miaka mingine buku kawe yote inabadirika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.