Hata hao maalbino watazidi kuogopa,kwani kama walishindwa kumzuia huyo jamaa wakati anaenda hapo meza kuu ,itakuwaje kwa kuwalinda raia?kama maneno yamemgusa angetoa malalamiko yake hukohuko msikitini.
inashangaza walinzi walikuwepo na jamaa akakatiza mpaka hightable bila kuulizwa anakwenda wapi,je hayo yakitokea kwa JK,si mliona Bush alivyokuja bongo ulinzi mpaka darini askari mpoo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.