Recent content by Judic

  1. J

    Ajira portal

    Tunaendelea we unafikiri tungeishije ?sema uko kuaply ndo kama kupoteza mda Bora kuendelea na kufanya mengine
  2. J

    Ajira portal

    Mpaka unaona Bora uuze maandazi kuliko kutafuta kazi
  3. J

    Mkeka wa TRA lini?

    Ivi usaili wa April wa TRA mpaka leo bado ni miezi sita dah hii nchi !🙄
  4. J

    Mkeka wa TRA lini?

    Yaani mimi ninavyo jua kama huja kamilisha vigezo system inakataa au hata ukiomba post tofauti na vigezo husika pia inakataa but sijui kwann wanafanya ivi inakera Sana dah
  5. J

    Mkeka wa TRA lini?

    Msaada jamn kuhusu Hilo Jambo
  6. J

    Mkeka wa TRA lini?

    Tatizo Ni nn jaman wanawezaje kuacept application kama mtu auja attach vyeti jamn msaada shida Ni nn?
  7. J

    Mkeka wa TRA lini?

    Jaman Mimi nili apply na wakanijibu received Cha kushangaza kwenye kuitwa usaili wanajibu sija attached cheti Cha diploma sijaelewa na kwenye account yangu Kila kitu kipo ivi kuna mtu mwenye tatizo kama langu anisaidie au ninamna ya kuwa punguza watu niliomba TRA
Back
Top Bottom