Hii chuki ya nini? Mbowe akifungwa unapata faida gani wewe na familia yako? Dunia hii tunapita hatuna makazi ya milele hapa kiasi cha kushangilia wenzako wakipata tabu. Mbowe na Esta Mung awatie nguvu.
Acha kufukua makaburi hayo yalishapita na waliosababisha wamepita. Sisi wote ni East Afrika ndugu katika damu kuna Wamasai Kenya na Tanzania, Kuna Wajaluo,Wakuria, Wataita Kenya na Tanzania. Kuna majina ya Wachaga Kenya na Tanzania na mengineyo. Wote tunajifunza na kuongea Kiswahili. Hatuna...
Hongera Joyce Msuya hongera wazazi wako waliokusomesha panapoeleweka hadi ukafikia hatua hii. Elimu bora kwa mtoto haiwezi kumuangusha mzazi. Chapa kazi dada umeonesha unaweza ukiwezeshwa. Ila nyie mnaoandika CV ya mtu kwa kiswahili mnaboa. BIOKEMIA NA ''KINYA MWILINI'' NI fani gani hiyo...
Mimi huwa nashindwa kuelewa hivi Mwanaume utatamanije kumuingilia Mwanaume mwenzako mwenye ndevu, misuli imekomaa!! kwangu akili inadata !!! Mungu Shuka useme na hawa wanadamu wanaokengeuka kila siku kwenye dunia uliyotupa yenye Adam na Hawa. That part is not for nispe Penetration it is for...
Utetezi wangu ni kwamba watu wazima walioamua kuwa hivyo wasitushughulishe tukaache mambo ya Msingi tunayohitaji kama vile Shule, Afya, Usafiri, viwanda,maji, na umeme. Haya ndio mahitaji ya smingi ya kila mwananchi. Unawaambia watu mara unaitwa hard skull, na maneno mengine yasiyopendeza...
And I too I am sorry for your teachers, I wonder how did they strive to make your Liquidified Skull( watermelon) to let a simple understatnding "If that's what it takes to make you feel like a big man, I pity you''. I am not Pro Mashoga and I don't care about what they do under their roof.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.