Walishazoea biashara za magendo na kukwepa kodi..
Ukiwabana kidogo wanalia kama watoto..
Ndio maana kelele nyingi utawasikia wanasema Jambazi lkn ukweli upo wazi hao ni wahuni sana.
Tukio gani la ujambazi alilokufanyia wewe na familia yako .!!??.
Kama ulikwepa kodi kukushughulikia ni ujambazi!?
Unauza bidhaa kwa magendo.. Kukushughulikia ni ujambazi!?.
Hawawezi kulijua hilo..
Wanawaza jambo la Sabaya tu ambaye yeye kashinda mahakamani wala hajafutiwa kwa huruma ya mtu.
Nchi hii ina wajinga wengi sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.