Concept ya gravity haifanyi vizuri kwenye flat Earth kwa sababu gravity in pull kuelekea centre of mass, hiyo inamaanisha direction ya pull itatofautiana kati ya walio centre na walio pembeni kitu ambacho hakitokei duniani.
Pili kwakua vector lines ni diagonal kwenye edges za sahani kuelekea...
Kama hatuwezi kujaribu mawazo yetu na mawazo ya watu hatuwezi kufikia sehemu ambayo wote tunakubali wazo fulani linakaribia ukweli.
Watu kupishana mawazo ni sawa na vema, kwa sababu inatengeneza nafasi ya kurekebisha fikara ambazo sio sahihi na pia kugundua vitu vipya.
Nimepita comments za watu humu na leo nikasema ngoja nijaribu hizi nadharia, sijafanya kwenye perfect condition sababu za ukubwa wa space niliyonayo na fact kuwa nimeshindwa kufanya kuwe giza sana sababu ya uwepo wa taa zingine zilizo nje ya uweza wangu.
1. Nime taa fixed, nifanyazoezi...
Binafsi sijaona sababu ya msingi wa wazungu kudanganya kuwa dunia ni tufe na sio tambarare ukizingatia uongo huu ili ufanikiwe unahitaji ushirikiano mkuu wa mataifa yasiopendana ikiwemo Marekani, Russia, China, India, nchi za uarabuni na europeans.
Pia wanaosema dunia ni tufe wanakupa namba kwa...
Kuna uwezekano swali langu limejibiwa sehemu lakini ningependa kujua motive ya wazungu kutudanganya kuwa dunia ni duara hasa faida wanazozipata kuwaaminisha watu kuwa dunia ni duara angalia ni tambarare.
Natanguliza shukrani kwa atakayeshare majibu
Mkuu ni kweli unachokisema, kuna uwezekano ni kweli wengi hatujui hizi sheria lakini pia nafikiri aina ya miamala tunayopigwa haitupi motisha ya kutumia hela zaidi kwenye kuajili wanasheria na kutumia muda mahakamani.
Pia ukijaukasoma Terms and Conditions documents zao, zimekaa kwa design ya...
Mkuu kama ulisubscribe kwenye App au service ni ngumu sana hata kwa card provider wengine kuissue reversal.
Changamoto nayoiona kwa Tigo na Airtel ni ujinga wao wakuchanganya card na wallet za Tigopesa au Airtel Money kwa hiyo mteja huna control ni kiasi gani kiwepo kwenye card.
Mkuu pole sana kwa hii changamoto, na mimi nimekuja kujifunza kuwa hawa watu hawajali na mara nyingi hawataki kubeba jukumu la kumsaidia mteja wao hata kutosupport ya documents pia ni shida kwao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.