Mimi naona mbona kama kila kitu kipo wazi hataukisoma kama gazeti.
Luka 1:40-41: Yohana yupo tumboni, Maria amefika Yohana ametambua uwepo wa Yesu
Yohana 1:29-30: Yesu anaenda kubatizwa, Yohana ametambua uwepo wa Yesu.
Mathayo 11:2-3: Yohana yupo generazani, Yesu hayupo naye. Yohana ameomba...
Utofauti upo wapi?
Hiyo misuli yako inakwambia nini?
Hilo tawi likiwa jembamba sana unafikiri ni nini nitatokea na kwa nini?
Kwa kutumia mahesabu, unafikiri mtu hawezi kujua tawi au structure iliyopo inaweza kusupport uzito gani?
Unafikiri kwenye madaraja wanapokwambia usipitishe uzito juu wa...
Mkuu tafuta tawi la mti lililo juu uruke uning'inie kwa kutumia mikono yako, sensor zako za mwili zinasema unavutwa au hauvutwi?
Rudia tena, safari hii uwe umesimama juu ya tawi, je unavutwa au hauvutwi?
Overall, nafikiri majibu yote yapo kwenye post zangu zilizopita
Mwili unasense mabadiliko mkuu.
Ili sensor iwezekufanya kazi lazima pawe na reference point, huwezi kusema joto ni kali au limepungua bila kuwa na reference.
Ni sawa na mapigo yako ya moyo muda wote yapo, ila huya sense, ila pale yatapoanza kwenda kwa kasi utajua tu.
Ubaya wa formula za gravity...
Formula ya F=ma => F=mg
Inachojaribu kusema ni kuwa ukiwa na vitu viwili sehemu moja
1) Utatumia force kubwa kwenye kunyanyua kitu kizito kuliko force utayoitumia kwenye kunyanyua kitu kidogo (a ni constant hapa 'g', so Force is directly proportional to Mass.)
2) Kama vyote vilianza safari ya...
Yanapotoka kwenye uso wa dunia, si yanatoka katika hali ya hewa, sasa kama yanatoka katika hali hiyo kwa nini yasifike mbali?
Pili je concentration ya oxygen ni sawa jinsi unaenda angani?
Yani kwenye usawa wa bahari, na juu ya mlima kilimanjaro concentration ya oxygen ni sawa?
Ni mwaka sasa tangu uzi huu utengenezwe, na imani tutakuwa tumejifunza mengi.
Je tujilipue na X1 au tuendelee kula reasearch?
Kwa uzoefu wako gharama ya maintenance ni kiasi gani kila baada ya muda gani kwa mtumiaji ambaye anatembea 20000km kwa mwaka ambapo 85% kwenye rami 15% off road?
Nilikua confused tu mkuu, ki uhalisia sijui kitu.
Ndo maana nafikiri elimu yako ni muhimu sana kwangu na kwa wenzangu ambao wapo confused kama mimi.
Dunia ipo wapi?
Nilimaanisha mawe na mchanga navyoviona vinatengeneza dunia vinadensity kuliko anga.
Kwanini dunia iliyodenser kuliko anga iweze kuwa suspended angani?
Mimi sijui kitu mkuu, nisaidie nielewe mkuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.