Recent content by Juakalee

  1. Juakalee

    Sheria ya Tume Huru ya Uchaguzi inabagua watumishi wa umma na ambao sio watumishi wa umma

    Demokrasia ni mfumo wa utawala ambao kila siku kuna mtu analalamika kuhusu kitu flan, ukimfurahisha huyu mwingine analalamika.
  2. Juakalee

    Sheria ya Tume Huru ya Uchaguzi inabagua watumishi wa umma na ambao sio watumishi wa umma

    Ubaguzi unatoka wapi hapa? Kila kazi ina vigezo na masharti. Vigezo sio ubaguzi ni utaratibu tu.
  3. Juakalee

    UCHAGUZI 2025: Nitapiga Kura na Kuilinda

    Mpiga Kura sio Polisi. Piga kura rudi nyumbani vinginevyo utawataka ubaya wenye dhamana ya ulinzi na usalama kwa sababu kwa kusema unalinda kura utakuwa unavunja sheria. Take care.
  4. Juakalee

    GE2020 Taarifa kuwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi itazuia Mawakala wa Vyama kuingia na simu zao katika vituo vya kupigia kura imetushtua

    Sasa simu kituoni za kazi gani? Sio lazima kupinga kila kitu. Kama uchaguzi mnashinda mtashinda na kama mnashindwa mtashindwa hata mkiingia na computer [emoji985] maana wananchi ndio wanaamua. Msilazimishe kuonekana kwamba mnaonewa kwenye kila jambo. Wakati kiukweli inaonekana upinzani maji yapo...
  5. Juakalee

    GE2020 Tume ya Taifa ya Uchaguzi ina upendeleo wa wazi kwa CCM na mgombea wake dhidi ya CHADEMA na Tundu Lissu

    Hii lialia yenu sio bure. Design mmeshaona kabisa kwamba hamtoboi, hamtoboiiiii in Bwegez voiz, yani hamtoboi, sasa njia na option pekee mliyobaki nayo ni kujenga chuki, kuchochea vurugu, ila juzi nimemcheck mgombea wenu kule Nyamongo mabomu ya machozi tu alipoteana na walinzi wake. Fanyeni...
  6. Juakalee

    GE2020 Tundu Lissu aijibu NEC kutishia baadhi ya wagombea "wanaohatarisha amani" kwenye kampeni zao

    Kama Rais wao anatembeza kikapu unaweza kuona ni kwa jinsi gani wao wana njaa. Yani chama kimekaa design kama kundi la wanyang'anyi.
  7. Juakalee

    GE2020 Tundu Lissu aijibu NEC kutishia baadhi ya wagombea "wanaohatarisha amani" kwenye kampeni zao

    NEC can't be ashamed of baseless allegations leveled by such an idiot/a sellout, this guy is really betraying his country and we the people of Tanzania [emoji1241] will show him that we are not ready to be colonised once more.
  8. Juakalee

    GE2020 Tundu Lissu aijibu NEC kutishia baadhi ya wagombea "wanaohatarisha amani" kwenye kampeni zao

    Hawa jamaa mwaka huu watapoteana. 2015 almost majimbo yote Dar na Kilimanjaro walichukua wao lakini bado hawakuacha kuitukana Tume. Sasa 2020 naona hawana sera na ule upepo wa Mhe. Lowassa hauvumi tena, yani watapoteanaaaaa. Yeye atukane tu ila tarehe 28 Oktoba 2020 sio mbali wa tz wataamua.
  9. Juakalee

    Sheikh Ponda kwanini unakubali kutumiwa vibaya?

    Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imekuwa katika maanadalizi ya Uchaguzi Mkuu kwa kufanya mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na kurekebisha kanuni, uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura na kuandaa maadiili ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu. Katika shughuli hizo na nyinginezo Tume...
  10. Juakalee

    Mnyika: Rasmu ya uchaguzi iliyotolewa na vyama kulazimishwa kusaini haifai

    Undumi la kuwili wa kiwango cha PhD yani ni kama kuchukua posho Bungeni na kujifanya mnagomea vikao. Uzandiki mtupu.
Back
Top Bottom