Uchaguzi 2020 CHADEMA: Taarifa tulizo nazo zinaonyesha Kampuni yenye makada wa CCM ndiyo itachapisha karatasi za kupigia kura...

Dah hawa jamaa punguani kweli kweli, si ndiyo hao walidai ujenzi wa bwawa la stigler haukufuata taratibu? Baada ya kushushiwa nondo haya wamekuja na mapya tena. Hivi mnadhani serikali ya awamu ya tano inabahatisha? Jiulizeni mlivyoumbuka corona na huu uchaguzi umewabua uchi wa mnyama, mmejulikana ni vibaraka wa wazungu mpaka mkakodisha mzungu awasemee, hakika mlishashindwa vibaya mno na historia ilishawahukumu kwa usaliti
 
Vile NEC inaibeba CCM ambayo haibebeki!
098760908.jpg
 
Dah hawa jamaa punguani kweli kweli, si ndiyo hao walidai ujenzi wa bwawa la stigler haukufuata taratibu? Baada ya kushushiwa nondo haya wamekuja na mapya tena. Hivi mnadhani serikali ya awamu ya tano inabahatisha? Jiulizeni mlivyoumbuka corona na huu uchaguzi umewabua uchi wa mnyama, mmejulikana ni vibaraka wa wazungu mpaka mkakodisha mzungu awasemee, hakika mlishashindwa vibaya mno na historia ilishawahukumu kwa usaliti
Nje ya mada, waambie NEC watoe majibu
 
Wajibu ASAP Wasifanye watu hawana akili
Ni haki ya Vyama vyote kuhakiki na kusimamia karatasi za kura
Huu mfumo wa kuenda kituoni kupiga kura utafutiwe ufumbuzi
Vituo viwe makanisa misikiti shule sio ofisi za kata sijui serikali za mtaa ( najisemea tu)
 
kwanza Umeanza kwa kupotosha, Lissu hakuhukumiwa na unachokiita "tume ya Taifa ya uchaguzi NEC"
Mkaulizane vizuri, Mkimfahamu mzabuni mtaongeza kura ngapi labda?
Au Mnataka mpate hiyo tenda? wekeni wazi, maana mnafahamika wapiga deals
 
Kama waliua mwanafunzi wa chuo Iringa, mwananchi wa kawaida Mbeya; na kule Pemba kupiga watu mapanga na kuchoma maskani za CCM hawashindwi kuhujumu uchaguzi kwa kuvamia kampuni inayochapisha, na kuiba karatasi, kuichoma moto, kuwatisha wafanyakazi, ama hata kuwahonga pesa
Naona unajisahaulisha makusudi.
 
Kwa sababu ya chama cha kutia wasiwasi, kinachoongozwa na watia wasiwasi. Kila siku wanaongeza wasiwasi.
Chama cha wasiwasi, kinaongozwa na wenye wasiwasi, kila siku wanaamka na wasiwasi na kuongea kwao ni wasiwasi na kila wanachokifanya wana wasiwasi nacho, sisi wananchi hatukutaki watatuletee wasiwasi.
 
Haya mambo ya aibu sana. Kampuni iliyo hapa si what? Akauliza wazazi wake ametokea wapi
 
Hawakawii kusema hizo ni siri kwa usalama wa Taifa.

Kila jambo lawezekana Tanzania
 
Back
Top Bottom