MUNGU IBARIKI CHADEMA!!!!!! MUNGU TUBARIKI WAPENDA MABADILIKO NDANI YA
NCHI YETU,TENA NCHI YETU WENYEWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!
PEOPLEEEEEEEEEEEEEEEEEEZ!!!!!!!!:rockon:
Huyu aliyetuma uzi huu inawezekana kabisa ni walewale wanaopewa posho Lumumba!
Nasadiki kusema hivo kwasababu,kama kweli ni mtanzania tena mzawa,asingekua na akili mgando
kiasi hicho!!!!
Kujua aina ya mkataba unaosainiwa na wawekezaji ni HAKI YA KILA MTANZANIA!!!!
Hebu tuweni jasiri kama...
Vijana! Acheni kuhangikia matumbo yenu kwa pesa haramu wanazoporwa wavuja jasho wenzetu
halafu mnapewa kama vijimisaada tu na hao Magamba. Tusidanganyike na Propaganda zao chafu
walizozianzisha za kutaka kuchafua CDM yetu wana M4C!
Tukataeni rushwa zao , wizi na upotoshaji wa Watanzani...
Haya ndiyo matunda ya Mulugo msaidizi wa the Edn.Minister na shule zetu za Kata zisizo kidhi viwango
vya ufundishaji!!!!
Hii story mpaka uweke miguu kwenye maji zaidi ya masaa kadhaa ndo uielewe!!!
Teh!teh! teh! Hiki ndicho kiswahili lugha ya Taifa letu:A S 114::A S 114::A S 114::A S...
Nadhan ccm wapo mochwari wakisubiri kaburi likamilike
kuchimbwa ili wazikwe kabisa na tuhitimishe matanga 2015
ili sisi wapenda nchi CDM tushike hatamu bila bughudha
maana wamezidi kutapatapa!!!!!
:nono: kamwe vijana tusipende vya kutafutiwa!
Tuweni na ujasiri wa kuthubutu na kujiamini katika nyanja zote na kufanya hivo,
lazima tutafikia malengo!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.