Upande mwingine ni mjinga lakini ukiangalia mkoa wa Mara unagundua kidogo zilikuwemo akili viongozi wengi wamepita kule ila mpaka leoara ni kati ya mikoa maskini tz
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Ni kweli na ni kawaida ya watu kupoteza kazi na kuuawa hamna ambayo watu hawauawi wala kupoteza kazi
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Kwan hata yeye angekuwa madarakani watu wasingepoteza kazi,wasingeuawa hayo mambo yapo tu hayakosi ya kaanza vizuri ila ametibua hapo kwamba miaka mitano watu wameuawa....
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.