Shamba lenye ukubwa wa eka 20 linauzwa lipo kijiji cha Mbwawa karibu na Mlandizi wilaya ya Kibaha.
Lipo karibu na chanzo cha kudumu cha maji(mto) ambao haukauki.
Linafaa kwa shughuli za kilimo cha umwagiliaji au ujenzi wa Shule,hspitali nk.
Bei kila eka milioni 7.
0756 625 286
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.