Hapana mkuu hayo ni mawazo yako tu, lakini taaluma ya udaktari na uuguzi haijaanza leo ni historia ndefu sana na mwanzoni kabisa wakati medicine inaanzishwa kulikuwa na vitu kama hivo, kumbuka wale wanafanya kazi kwa kufuata miiko ya taaluma yao ambayo wewe hujafundishwa na pia huna
Taarifa kama hizo sio mara ya kwanza kuandikwa, lakini kinachokuwa tatizo ni kwamba katka ulimwengu wa sayansi ya majaribio ya dawa zinazohusu binadamu kuna stages nyingi sana mpaka dunia nzima ijidhihirishe ukweli au uhalisia wa ugunduzi huo, clinical trials ni tofauti na tafiti zingine za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.