Soma ujumbe wake uelewe vizur,ajapinga mawazo ya msiba wala ajapinga msiba anayo ongea yupo nae sawa tatzo msiba ni nan yeye kuongea vile na kukashfu ad viongozi wastaafu iyo ndio shida
Kuna vyombo vya kufanya ayo mambo lakin sio msiba ndio point yake ilipo ila ajapinga anayo sema msiba...
Vibaraka wanajali maslai yao lakin ipo siku wote watajikuta sehem moja na wanateseka wote kama wakumbuka jiwe alienda gerezan akasema kwa kinywa chake yeye n mfungwa wa baadae analijua ilo na sio kuwa alikosea kusema anajua mwsho wake n wap
Siasa ni mchezo mchafu sana wenye weledi ndio wanoa teseka siku zote,mimi binafsi sijaona sababu ya makamba kutolewa sijaona mantiki ata kidogo ila naelewa kuwa nia na dhumuni ni kulinda maslai ya chama cha mapinduzi na sio wananchi
Na kama bashe asinge ongea kuhusu maswala ya barua ya wazee...
Tusipende kuishi kwa ushabiki kwan maendeleo upimwa kwa namna mtu anavyo ishi na sio namna serikali inavyo ona
Oja yako namba moja ina mashiko ila sio elimu bora n elimu ilimrad watoto waende shule
2-ukiwa wasema kitu sema kwa fact 1.5T zipo wap police walio kamatwa na kuachiwa kuhusu...
Point over point,ni kwel kabisa sisi watu wa Africa tumeumbwa kulalamika na atuja kataa wanatoa misaada. Ila ile misaada wanayotoa sio kisa wao wanatupa sisi ayo magonjwa n uongo ile misaada inatoka kama mgongo wa kulipa kodi ndogo ndio maana unakuta matajiri weng wa nchi za wenzetu wanatoa ela...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.