Recent content by Jr Xavi Hernandez

  1. Jr Xavi Hernandez

    Bongo Hip hop

    Turudi kwenye Old School Hip hop. Hivi ni Collabo gani ya HIP HOP haikuwahi kufanyika hadi leo unasema, Kama ingefanyika basi ingekuwa hatari sana. Naanza Mimi, Collabo ambazo nilitamani kuziona lakini hazikufanyika. Za HIP HOP lakini. JOSE MTAMBO&JAY MOE. . AFANDE SELE&ALBERT MANGWEA ...
  2. Jr Xavi Hernandez

    Tanzania hakuna kama Jose Mtambo

    Mechi za Ugenini[emoji91][emoji119]
  3. Jr Xavi Hernandez

    Tanzania hakuna kama Jose Mtambo

    Madogo hawawezi kukuelewa[emoji3]
  4. Jr Xavi Hernandez

    Tanzania hakuna kama Jose Mtambo

    Bongo sijaona mwana Hip hop ambaye anaweza kuflow kama Jose Mtambo. Sijaona. Kama yupo mtaje wa kumshinda Jose Mtambo kwenye flow[emoji91][emoji91][emoji119] #forgive me
  5. Jr Xavi Hernandez

    Unadhani ni ngoma gani ya sasa Ngwair angetia neno ingebamba?

    Ngoma gani ya leo ya Hip Hop kila ukiiskliza unasema humu angekuwemo Albert Mangwair ikingekuwa hatari zaidi? R.I.P Cowbama #Forgiveme
  6. Jr Xavi Hernandez

    Dizasta Vina

    Ngoja nizipe tena sikio hiyo hatia 4[emoji119][emoji119]
  7. Jr Xavi Hernandez

    Dizasta Vina

    Inaitwa money?
  8. Jr Xavi Hernandez

    Dizasta Vina

    Dizasta vina hatia 1V.(hatia ya nne) Hii kwangu ndio ngoma bora zaidi kutoka kwa Dizasta, Sijaona ngoma ya Dizasta inayoweza kukaa juu ya hiyo. Sio Mwanajua,Shahidi,Kikaoni wala Kibabu.... Mnasemaje wadau? #forgive me
  9. Jr Xavi Hernandez

    Albamu ya Prof. Jay ya "Machozi Jasho na Damu" Ndio Album Bora ya Hiphop ya muda wote?

    Kwa Ulimwengu ndio mama ya Mchopanga hiyo a.k.a mimi inasubiri
  10. Jr Xavi Hernandez

    Albamu ya Prof. Jay ya "Machozi Jasho na Damu" Ndio Album Bora ya Hiphop ya muda wote?

    Haijaifikia hata Ulimwengu ndio Mama ya Mchopanga
  11. Jr Xavi Hernandez

    Albamu ya Prof. Jay ya "Machozi Jasho na Damu" Ndio Album Bora ya Hiphop ya muda wote?

    Wakuu habari za asubuhi, Kwema ndugu zangu. Watu wa Hip Hop nawaomba hapa. Hivi ni kweli Album ya Profesa Jay, Machozi Jasho na Damu. Ndio Album Bora ya HIP HOP ya muda wote? Kama ni kweli kwa vigezo vipi? Karibu wadau tuchangie.. #Forgive Me
  12. Jr Xavi Hernandez

    Nani zaidi kati ya Darasa na Stamina?

    Nani mkali sasa[emoji3]
  13. Jr Xavi Hernandez

    Nani zaidi kati ya Darasa na Stamina?

    Wakuu kwema? Darasa na Stamina at their peak nani hatari zaidi? Nani ana punchline nzito, ni nani mkali zaidi linapokuja suala la Hip Hop? Stamina Vs Darasa. #Forgive Me.
  14. Jr Xavi Hernandez

    Naomba kujua tofauti ya Rappers na Mcee ni ipi?

    Shukrani Kaka. So Ngwair anakaa wapi???
Back
Top Bottom