Recent content by jr tandika

  1. J

    Utajiri wa kishirikina unavyotesa wengi

    kisu kwenye mfupaumegonga mshana jr kanda ya ziwa matajiri wengi ni shida,kuna ndugu wawili nawafahamu kabisa utajiri wao unamashaka kabisa ,kuna huyo mzee ni maarufu congo,rwanda na Burundi yote wanamtumia kwa mambo hayo.hii dhana ya utajiri wa kishirikina ipo sana watu wanajenga nyumba zao...
  2. J

    Ni kweli maghorofa ya TAZARA Chang'ombe vetenary yameuzwa?

    kisu kwenye mfupa kaka umegonga ingawa Mwakyembe mwenyewe hawezi, biashara za watu hizo
  3. J

    Nilisafiri safari moja kwa njia mbili tofauti kwa wakati mmoja!

    mkuu mwenyewe situation kama hii inanitokea naweza kuwa sehemu tena mara ya kwanza kufika ,lakini kuna kitu kinakuja kama niliwahi fika hapa before..wanao fahamu hii kitu watudadavulie
  4. J

    Leo nimeamini Uswazi kuna Great Thinkers wa ukweli

    Huelewi nini kaka Asprin yule dogo alikuwa anaweza kuset bomu alink na simu. Yeye anakaa mbali anabonyeza tu simu kitu inalipuka. Umenisoma lakini?
  5. J

    Leo nimeamini Uswazi kuna Great Thinkers wa ukweli

    Vipaji vipo sana Tanzania, kuna siku nimehudhuria graduation, dogo alikua anamaliza TPDF, nikaoneshwa dogo mmoja alikua anaweza link milipuko na simu, Mwamunyange aliona dhahabu ile isipotee, naskia dogo alitokea depo ya polisi wakampeleka TPDF kutokana na talent yake. Kuna akina Mayweather...
  6. J

    Nijuzeni kuhusu "Jambazi" Kasusura

    kafanya ujasiri wa kutoa bastola kama komando kipensi akakamatwa kindezi....shenzi zake
Back
Top Bottom