Recent content by jr boy

  1. jr boy

    Ramadhan Special Thread

    ndio mkuu ume gusia pale pale kabisa sasa hv najisi kila kona.
  2. jr boy

    Ramadhan Special Thread

    mkuu zama zao na zetu ni tofauti kwa mfano jiji la dar vile chafu kwel uje uswali na viatu hata kama ni vipya mm binafsi lazima niku ame kwenye swafa
  3. jr boy

    Ramadhan Special Thread

    kaka mbona una bishana na hadith ina ruhusiwa ila kama n msikitini nani ata amin kama viatu vyako ni twahara hapo ndio mtihani huwa ulipo
  4. jr boy

    Ramadhan Special Thread

    Waislamu baada ya futariii tuwe tuna kuja huku kukumbushana ma wili ma tatu
  5. jr boy

    Ramadhan Special Thread

    ALLAH aweke wepesi nyoyo zetu ziendelee kuwa hivi hivi
  6. jr boy

    Ramadhan Special Thread

    poa mkuu hawa watu tuli jua lazima waje tu huku ni kuwa ignore tu
  7. jr boy

    Ameamua kuniacha bila sababu sasa anataka tuuze nyumba tugawane pesa

    [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
  8. jr boy

    Ameamua kuniacha bila sababu sasa anataka tuuze nyumba tugawane pesa

    kweli ila mimi siitaji undugu wa hiyali ni wewe tu na upeo wako wa fikra na wala sija wahi kuku sumbua kwa lolote lile kama lipo wewe lilete hapa niumie kwa lipi. acha dharau atujuani hapa ote tupo nyuma ya kaybord ndio mqna una andika vile u think tu
  9. jr boy

    Ameamua kuniacha bila sababu sasa anataka tuuze nyumba tugawane pesa

    kwa hiyo na mimi ume nijumuisha kwa hao walio kutenda au kuku fanyia vitu usivyo vipenda
  10. jr boy

    Ameamua kuniacha bila sababu sasa anataka tuuze nyumba tugawane pesa

    basi sawa humu kila mtu ana kula kwake. *nili kuheshimu sana *nili kupenda sana ila kila lenye mwanzo, ali kosi kuwa na mwisho,wewe ndie uli nika libisha humu na kumbuka kila la kheri
  11. jr boy

    Epuka kuweka maagano ya damu kwenye mahusiano

    mmhhh naona una anza kutoa siri za kambini sasa
  12. jr boy

    Epuka kuweka maagano ya damu kwenye mahusiano

    [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] pole pole bibie haya mambo haya taki hasira kabisa,ngoja mfungo uishe tu tubu kwanza dhambi zetu. takuta futa baada ya mfungo.
  13. jr boy

    Epuka kuweka maagano ya damu kwenye mahusiano

    nime chungulia kweli, una faa kwa matumizi ya kibinaadamu ongera sana.
  14. jr boy

    Ameamua kuniacha bila sababu sasa anataka tuuze nyumba tugawane pesa

    hapana mimi sipo hivyo labda wewe kama una taka kuli kuza hili jambo ila mimi binafsi sipo na majibu ya *nyodo *dharau *kibri *majivuno nk naishi maisha simple sana na ndio kitu mama yangu huwa ana niusia siku zote
Back
Top Bottom