Hivi ww unatoa kauli na bado unajua kwamba siraha hizo zitaenda kuuwa na maeneo gani?Unajisikiaje zikija uwa wazazi wako/mke wako/Dada yako/Watoto wako/ndugu zako wakaribu.Siyo sawa kuongea lugha hiyo kumbuka waliopoteza maisha wanafamilia kama wewe.Watoto wao walikuwa wanawahitaji baba zao ila...
Kipengele cha 3 hakina ulazima kabisa maana kinakiuka haki za binadamu.Kupima bikra ni uzalilishaji,upimaji unatokea pale inapotokea kuna ulazima kwamba binti amebakwa.So hakiwezi tekelezeka. Bikra huweza kuondoka bila kujamiana na mwanaume. Asante mtoa uzi!
Huna haja ya kutangaza kama huwapi maana msaada ni hiari mzee Sabodo na isitoshe huna uukweli wowote katika hilo unalosema.Tunataka kujua kwanza biashara zako unalipa kodi vizuri mzee wetu. Rais wangu mimi akumbatii wakwepa kodi sasa unashituka nini sasa hivi.Unataka kiki au?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.