Kile kilichowahi kunenwa na Katibu wa itikadi na uenezi Ccm kuwa tutashinda hata kwa goli la mkono linajidhirisha katika hizo kura feki. Dhambi zao zitawatafuna, fimbo watapigana vichwani kama kule kwa Job. Sisi wanaukawa ni ustaarabu kwa kwenda mbele. Ukawa safiii!!
Dah pole Frank. Hapo kachepuka halafu kanogewa hata zana kasahau. Ni changamoto jikaze tu boss wangu, japo inauma. Kama unampenda na ye bado anakupenda pima weka ndani. But hakuna mwanamke utamkuta bikira katika ulimwengu huu. Ni nadra sana. Take it easy mani!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.