Habari zenu wakuu, leo natoa ushauri kwa wote wale wanaoingia skul ya kwamba wajue wanategemewa na jamii inayowazunguka na pengine ndio maana MUNGU amewajalia mafanikio walionao. Hivyo bac wazingatie kile kinachowapeleka huko ili baadae waisaidie jamii katika nafasi mbalimbali.
Si hivyo tu...
Nmekosea wanajamvi msamaha wenu nahitaji (SAM CKIA). Ila hapo kwenye kujua majina yaliyotolewa na chuo (MUHAS) niko serious tafadhal naomben mnijulishe ntayapataje sababu web yao kidogo inanipa shida na nimewauliza wakasema wameshayaweka so anaejua link ya kuyapata plz. nimecomfuse coz mda...
Ifi ii kichwa angu imelala au n muhas ndo imelala. Mbona hiyo majina ya pipo silisochaguliwa na tcu kwenda muhas siioni kwa net ya muhas. Ebu saidia hii kichwa ndugu. "che pasua sana kichwa ati" naeza chelewa sule afu ii kitu inaita karo hesib saidia bana mutu iendelee kimasomo ati.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.