Wengi wetu neno dijitali tulianza kulifahamu wakati ule mfumo wa televisheni zetu unahama kutoka analogia kwenda dijitali, neno hili lilipata umaarufu sana lakini ukiuliza maana halisi ya dijitali na msaada wake wengi wetu tulikuwa hatufahamu.
Katika harakati zangu za kulijenga taifa letu leo...
Benki ya CRDB wanakituo cha huduma kwa wateja, website na akaunti za instagram, twitter na facebook tembelea huko watakuelewesha zaidi na kukupatia utatuzi wa suala lako, wanasikiliza sana, mm nadhani hiyo ni njia sahihi ya wewe kupata maelezo ya kina.
Mimi nadhani ulipo patwa na huo wasiwasi wa kwamba unaibiwa ungeli uliza kwa wahusika na wakakupa maelezo, huwa kwa taasisi na makampuni yanayofanya biashara inayopokea malipo kutoka kwa wateja/suppliers/nk huwa wanafunguliwa Akanti za Collection (Makusanyo) ambapo zinakuwa na Management Fee...
Braza hilo nitatizo tu la kawaida, binafsi nilishawahi kutoa hela NBC wakati natumia CRDB. Nilitoa laki moja lakini ikawa haijakatwa, pale huwa wanaihold ili baadae waikate kama system inasumbua... ilipokuja katwa nikakuta kuna difference ya laki2 na sio laki 1, nilipofuatilia vizuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.