Wanasheria ni watu wenye standards zao. huwaoi kizembezembe tu. Ofcourse utatupiliwa kule na ataweza kujimanage mwenyewe bila kumtegemea mtu. Standard goes with standard.
Tatizo la wanaume wengi, wanapenda upelekeshaji au ukandamizaji wa chini chini ndo maana akipatikana mwanamke asiekubaliana na upelekeshwaji wanachachamaa. most men wanapenda domination. Mwanamke msomi yeyote, anaejielewa na kujiamini hatapatana na mwanaume wa kihivyo. Nawajua wanasheria...
Lipa kwanza deni na kama kuna mlikubaliana siku ya malipo, (as a reasonable man) ulitakiwa kujua consequencies of the delayal. Ila kama hamkukubaliana deadline na wao walielewa hali yako, basi wanakosea kukupiga fain. Na huyo mtoto umpeleke shule.
Unamuacha mwanamke kwasababu ya post ambayo imetungwa social media... we call that cowardness cause utakua umemuacha kwa kuogopa elimu yake na kwa sababu zisizo kua za msingi..... ulimpenda mwenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.