kwa taarifa yenu sio hilo tu, haya nayo pia:
Magari na vifaa vyote vya kujenga minara vinapita bandarini bila kodi sahihi
TiGo nao wamo ktk misamaha (isiyoeleweka) ya kodi ya kuingiza vifaa na magari
Kati ya wamiliki wakuu wa Vodacom ni Rostam
Mzee Kitilya (commisioner wa TRA) anayajua yote...
Kwa kweli hili swala la mbunge kukataa kuhojiwa kwa makosa anayoshukiwa kutenda lilikua linanitatiza sana! nilikua najiuliza kama ni kweli mtu mmoja (an individual) anaweza kuwa juu ya dola, nilikua sipati jibu. lakini,
Baada ya kufuatilia maoni na mawazo ya watu mbali mbali na hasa ufafanuzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.